Nini kitatokea endapo Magufuli atajiongezea muda wa kukaa madarakani?

upo tayari aongezewe muda kwa masilahi mapana ya taifa
 
Magufuli anajifanya kipofu imani yake inamdanganya kuwa anawezatoboa kwa mawazo yake ya kishamba.hajaona ubabe wa mugabe ulipowafikisha wazimbabwe hadi sasa
soma mada utoe maaoni acha kumshambulia kiongoz bila sababu za msingi
 
Project gani ndugu mtoa mada ambazo atashindwa kukamilisha ndani ya miaka 10 hadi aongezewe muda!!?
 

hauna la kuwaza??

hawezi na haitatokea

ndani ya CCM kuna upinzani mkubwa kuliko nje ya CCM

hakuna mwana CCM atakubali hilo na usijidanganye


JK kikwete mlisema haya haya

waza mengine sio pumba hizi
 
...ilimradi saver ya JF iwe busy !
 
Reactions: ams
Wamekutuma kuwa endapo ikitokea tutafanya nini.
Waambie kwasasa hawajui ,ila litakapotokea watapata majibu.
Maana wewe ni wale wale, si ulikuja kipindi hapa na vitisho kwa TL???
 
Baada ya uchaguzi 2020 hili suala la magufuli kuongezewa muda litazuka kwa kasi kubwa sana
 
Patachimbika.Full stop.Na wala msithubutu.mxxxxx
 
IMF wako mgu sawa kutupa kibano
 
The killer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…