Nini kitatokea endapo Magufuli atajiongezea muda wa kukaa madarakani?

"Kesho ni mbali sana. Hakunaaijuaye"
 
Magufuli anajifanya kipofu imani yake inamdanganya kuwa anawezatoboa kwa mawazo yake ya kishamba.hajaona ubabe wa mugabe ulipowafikisha wazimbabwe hadi sasa
Mugabe, Albashir, Gaddafi, Mubarak hawa wote walikuwa makamanda wa kijeshi sembuse yeye!
 
Majibu haya hapa..
 
Ikitokea hivyo jua wale IS walioko Mozambique wanaweza kupata kisingizio cha kupanua shughuri zao mpaka hapo Dar
 
TUKUMBUSHANE Kwani Nduli Iddy amini alifanywa nini wakati alipotaka kujiongezea kipisi cha ardhi
 
Sasa hivi swali gumu ni """Nini kitatokea endapo Mbowe atagoma kuachia uenyekiti?""""
 
Nilikuwa naota nikaamka kumbe nimejikojolea ila soon nitalia tena Kwa machozi wakati Peter Msechu akiwa studio anandaa wimbo wa bubujiko kwenye tamasha uwanja wa Taifa , huku pande la kitenge chenye rangi ya madini katikati likiwa limeinama. Naamka nikanywe supu Pale Mbezi Mwisho wanapaita Mbuzi Online
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…