Nini kitatokea iwapo Tundu Lissu akiwa Mwenyekiti Chadema?

Nini kitatokea iwapo Tundu Lissu akiwa Mwenyekiti Chadema?

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Kwa uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nimegundua Wanachama wengi wa Ccm hawataki tundu Lissu ashinde nafasi ya uenyekiti Chadema.

Hapo kabla ya Ndugu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya kuwa Mwenyekiti Chadema, watu wengi hasa wafuasi wa chama tawala walikuwa wakipiga kelele Kuwa mwenyekiti wa sasa ndg. Feeman Mbowe amedumu madarakani kwa muda mrefu, amekigeuza chama kama taasisi au Saccos yake.

Jambo la kushangaza kuna maandiko mengi nimeyaona, kuna watu wanapinga Ishu ya Lissu kugombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa Chadema, wengine wanafika mbali wanasema bora Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti kuliko Tundu lissu kushinda nafasi hiyo.

Swali langu ni je? iwapo Tundu Lissu akishinda nafasi ya Uenyekiti nini kitatokea?
download (2).jpg
 
Hicho ni chuma babulai,hapepesi kitu mazeee,tukipata watu serious kama lissu basi chap tu.
Mbowe atulie pembeni tuone battle ya kwepi ya siasa iliyopotea.Kwa Sasa chairman anawesa shinda ya chama ila atakosa shinda mioyoni mwa wananchi
 
Hicho ni chuma babulai,hapepesi kitu mazeee,tukipata watu serious kama lissu basi chap tu.
Mbowe atulie pembeni tuone battle ya kwepi ya siasa iliyopotea.Kwa Sasa chairman anawesa shinda ya chama ila atakosa shinda mioyoni mwa wananchi
Aisee
 
Huwezi kuanza kufikiri kitu ambacho hakipo, ni sawa na ww kuanza kufikiri nini kitatokea iwapo utakufa sasa hivi.
 
All options on table.

Tweet ya jana ya Mnyika ni moja ya option waliyonayo kwa sasa, kwamba ikitokea Lissu ameshinda wataharibu uchaguzi, itaonekana Usalamaa wameharibu uchaguzi, watajipanga na upya.
 
All options on table.

Tweet ya jana ya Mnyika ni moja ya option waliyonayo kwa sasa, kwamba ikitokea Lissu ameshinda wataharibu uchaguzi, itaonekana Usalamaa wameharibu uchaguzi, watajipanga na upya.
Hii inaweza kusababisha mpasuko ndani ya Chama
 
Tundu ni anti establishment, Mbowe ni sehemu ya establishment ila akiwa ndani ya upinzani, mbowe ni sehemu ya mfumo wa ccm unaotawala nchi.

Lisu anataka kama ni chama cha upinzani basi kiwe chama cha upinzani sio Chama cha upinzani kumbe kwenye background ni ccm b.

Ukiona ccm wanamtaka mbowe hapo ujue kuna shida
 
Tundu ni anti establishment, Mbowe ni sehemu ya establishment ila akiwa ndani ya upinzani, mbowe ni sehemu ya mfumo wa ccm unaotawala nchi.

Lisu anataka kama ni chama cha upinzani basi kiwe chama cha upinzani sio Chama cha upinzani kumbe kwenye background ni ccm b.

Ukiona ccm wanamtaka mbowe hapo ujue kuna shida
Unaweza kuwa sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom