George Charles007
JF-Expert Member
- Mar 10, 2024
- 217
- 337
Mfano hakimu kakushuhudia ukiiba, alafu hakimu huyo huyo ndiye anayekuhukumu akapelekewa ushahidi unaosema huku husika na tukio hilo.
Nini kitatokea wana JF?
Nini kitatokea wana JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kuhusu kwa hisia zake hata kama aliona. Atahukumu kwa ushahidi usioshaka.Mfano hakimu kakushuhudia ukiiba, alafu hakimu huyo huyo ndiye anayekuhukumu akapelekewa ushahidi unaosema huku husika na tukio hilo. Nini kitatokea wana JF?
Hiyo imekaaje? Ni sawa?Hawezi kuhusu kwa hisia zake hata kama aliona. Atahukumu kwa ushahidi usioshaka.
Bobu ndo kesi hiyo kashapangiwa aruke nayo na kashuhudia msala.Badala ya kuwa Hakimu Kuhukumu atakuwa Shahidi ili kutoa Ushahidi hivyo atakayekuwa Hakimu ni mwingine....
Hakimu ako na haki ya kukataa kesiBobu ndo kesi hiyo kashapangiwa aruke nayo na kashuhudia msala.
Labda aipige pige kalenda.
Unapangiwa Kesi kabla tukio halijatokea ? Niambie how is that Possible ?Bobu ndo kesi hiyo kashapangiwa aruke nayo na kashuhudia msala.
Nope rahisi sana anajitoa tu kwa sababu zilizopo kwamba alishuhudia.., ni kama vile tu kuhumu mtu aliyemuua ndugu yake (itaonyesha Bias)Labda aipige pige kalenda.