Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Dini is an opium of the poorHutumika kutoa ujumbe kwenye jamii kuwa huyo binti au mwanamke alimeshatolewa bikira [emoji108][emoji108][emoji108]
Hiyo ni kibiblia kabisa.
Kakobe alishafundisha hii miaka kadhaa ilopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili mbovu kweli.Kile cha fasta fasta kwenye choo au gari inafanya mambo yasiwe complicated sana
Sent using Jamii Forums mobile app
maana yake ,hapo hakuna bikira usiitegemee..Nini lengo la mpasuo kwenye sketi za wadada/wanawake? Mwenye majibu anieleweshe, bado mgeni hapa mjini
Yaani unamaanisha mkeka UMECHA NIKA??maana yake ,hapo hakuna bikira usiitegemee..
NDIYO KIONGOZIYaani unamaanisha mkeka UMECHA NIKA??
Sasa shida yA kuvaa nguo ya kubana ni nniJibu ni jepesi tu
Mbona dela hazina mpasuo
Shera hazina mpasuo
Vitenge havina mpasuo
Khanga havina mpasuo
Mpasuo unakuja mwanamke anapotaka kuvaa nguo ya kubana iwe sheti au gauni ili kumsaidia awe huru kwa kuwa nguo iliyobana haimpi mtu Uhuru wa movement
Mpasuo unasaidi kumwezesha mwanamke kupiga hatua kwa uhuru na kwa urefu mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
duhNa kupata ventilation ya kutosha, kuonesha paja au mapaja, kurahisisha aendapo uhani hasa haja ndogo katika kuinua tu sketi, kupanua miguu akiwa amekaa.
Nini lengo la mpasuo kwenye sketi za wadada/wanawake? Mwenye majibu anieleweshe, bado mgeni hapa mjini
AiseeeUa bila kikonyo halinogi.
Wanatamani kurudi edeni wakaonane na nyoka ili walishwe tunda tenaSasa shida yA kuvaa nguo ya kubana ni nni
AiseeWanatamani kurudi edeni wakaonane na nyoka ili walishwe tunda tena