KUNA KITU ULITAKA KUJUA LAKINI UMEOGOPA KUJUA. MWANZISHA MAADA KACOPY ALIVYOMEZESHWA MADRASA, LAKINI AKATUELEZA ANACHOKIAMINI.Talizo Allah lilitumika na wapagani wa macca kabla ya uislam wakimwita ndio mungu wao.
Baada ya Muislam wa kwanza Muhammad kuuanzisha uisam nae akaendelea kulitumia jina lilelile lililotumika na wapagani kumuita mungu wao!
Kujifanya kwako unajua kila kitu na kuamini unachoamini ni sahihi kwasababu tu moyo wako unaridhika pasi kuangalia na kujua upande wa pili basi ndiyo unazidi kua mjinga zaidi ya hao wajinga wa makkaKUNA KITU ULITAKA KUJUA LAKINI UMEOGOPA KUJUA. MWANZISHA MAADA KACOPY ALIVYOMEZESHWA MADRASA, LAKINI AKATUELEZA ANACHOKIAMINI.
NITAELEZA MAANA HALISI NA HISTORIA YA NENO, YAHWEH, ALLAT NA ALLAH KIMAPANA NA KIMAPOKEO YA WAJINGA WA MACCA
ulipotea sana mkuu.KUNA KITU ULITAKA KUJUA LAKINI UMEOGOPA KUJUA. MWANZISHA MAADA KACOPY ALIVYOMEZESHWA MADRASA, LAKINI AKATUELEZA ANACHOKIAMINI.
NITAELEZA MAANA HALISI NA HISTORIA YA NENO, YAHWEH, ALLAT NA ALLAH KIMAPANA NA KIMAPOKEO YA WAJINGA WA MACCA
Asante sana. Sasa nimepata sababu nyingine ya kuamini Aĺlah siyo YHWHNatumai wote ni wazima humu jamvini
Baada ya kusoma baadhi nyuzi zinazojumuisha masuala ya kiimani nimeona baadhi ya maneno yakikebehi hili jina/neno (ALLAH)
Kwa hiyo baada ya kuona hili ni tatizo nimeonelea bora nitoe ufafanuzi kidogo ambao unaweza kutupa faida sote
Kwanza kabisa kwenye upande wa fasihi na lugha ALLAH haimaanishi mungu kama kwa kiingereza tunavyosema GOD na kiarabu ILAH,, je kwanini ALLAH maana yake sio mungu na waislamu wanasema mungu? Maswali kama hayo watu tunajiuliza vichwani mwetu
Majibu ya maswali yetu ni haya tunavyosema MUNGU ni inategemea na imani ya mtu,, mwengine atasema sanamu ndiyo mungu wake,, wengine mizimu na wengine mwezi na wengine jua,, ila unavyosema ALLAH unazungumzia mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa na kuombwa hakika yeye ndiye mkuu na muweza wa yote.
Wengine watauliza kwanini wakristo hawasemi kama ALLAH ndiye mungu wao ??
Hii ni kwasababu ya lugha husika katika lugha ya kiingereza hakuna tafsiri au neno linalo simama kwa (mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa muweza wa yote) ila kunatafsiri ya MUNGU wa kawaida ambaye kila mtu anaweza mfanya kwa mtazamo wake
Na kuhakikisha hilo ukija kuchukua biblia ya st james iliyo katika lugha ya kiarabu utakuta neno hilo ALLAH lipo katika biblia
Dhumuni la huu uzi lilikua ni kutoa ufafanuzi wa hili neno kwa kifupi kama kuna sehemu nimekosea wajuzi zaidi mtarekebisha maana tupo humu kujifunza
Nawasilisha
Mkuu wacha nikufundishe kidogo, neno "allah". haimaanishi mungu yule sisi wakiristo tunaabudu LA LA KABISA, nataka kukuambia hii neno na huyu mungu anaitwa allah na wafuasi wa dini ya kiislamu lilitoka wapi, kula jangwani la zamani huko saudi arabia watu walikuwa wanaabudu miungu mingi, wakati mohhamed amekuja na kuleta dini ya islam, mohhamed akaona ni vyemma achukue tu jina moja kati ya hizi miungu, na akachukua mungu anaitwa allah,ukitaka mengi kuhusu hio jina enda kwa youtube na uweke APOSTATE PROPHET, na hapo utapata ukweli mtupu, barikiwa na YESHUA HAMASSIAHNatumai wote ni wazima humu jamvini
Baada ya kusoma baadhi nyuzi zinazojumuisha masuala ya kiimani nimeona baadhi ya maneno yakikebehi hili jina/neno (ALLAH)
Kwa hiyo baada ya kuona hili ni tatizo nimeonelea bora nitoe ufafanuzi kidogo ambao unaweza kutupa faida sote
Kwanza kabisa kwenye upande wa fasihi na lugha ALLAH haimaanishi mungu kama kwa kiingereza tunavyosema GOD na kiarabu ILAH,, je kwanini ALLAH maana yake sio mungu na waislamu wanasema mungu? Maswali kama hayo watu tunajiuliza vichwani mwetu
Majibu ya maswali yetu ni haya tunavyosema MUNGU ni inategemea na imani ya mtu,, mwengine atasema sanamu ndiyo mungu wake,, wengine mizimu na wengine mwezi na wengine jua,, ila unavyosema ALLAH unazungumzia mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa na kuombwa hakika yeye ndiye mkuu na muweza wa yote.
Wengine watauliza kwanini wakristo hawasemi kama ALLAH ndiye mungu wao ??
Hii ni kwasababu ya lugha husika katika lugha ya kiingereza hakuna tafsiri au neno linalo simama kwa (mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa muweza wa yote) ila kunatafsiri ya MUNGU wa kawaida ambaye kila mtu anaweza mfanya kwa mtazamo wake
Na kuhakikisha hilo ukija kuchukua biblia ya st james iliyo katika lugha ya kiarabu utakuta neno hilo ALLAH lipo katika biblia
Dhumuni la huu uzi lilikua ni kutoa ufafanuzi wa hili neno kwa kifupi kama kuna sehemu nimekosea wajuzi zaidi mtarekebisha maana tupo humu kujifunza
Nawasilisha
Kua makini ushabiki wa kidini na utumwa wa akili yako vinakuangamiza mkuu zindukaMkuu wacha nikufundishe kidogo, neno "allah". haimaanishi mungu yule sisi wakiristo tunaabudu LA LA KABISA, nataka kukuambia hii neno na huyu mungu anaitwa allah na wafuasi wa dini ya kiislamu lilitoka wapi, kula jangwani la zamani huko saudi arabia watu walikuwa wanaabudu miungu mingi, wakati mohhamed amekuja na kuleta dini ya islam, mohhamed akaona ni vyemma achukue tu jina moja kati ya hizi miungu, na akachukua mungu anaitwa allah,ukitaka mengi kuhusu hio jina enda kwa youtube na uweke APOSTATE PROPHET, na hapo utapata ukweli mtupu, barikiwa na YESHUA HAMASSIAH
mimi sina dini ila ni KINGDOM OF GOD CITIZEN, do u need more explaination sir, i am willing to do so, and after all pls try to answer my comments using TRUTHS and FACTS, and not creations of your limited mindset sir.Kua makini ushabiki wa kidini na utumwa wa akili yako vinakuangamiza mkuu zinduka
Fanya hima japo ujinyime muda wako ili kutufungua kimaarifa & uelewa ktk hili kwa kuweka uzi uhusuo jambo hili mkuuulipotea sana mkuu.
ningekua Nina muda ningeandika nami kuhusu allah
Unajua maana ya ALLAH ?Mungu kwa Kiarabu sio Kiislam.
kama sisi tunavyomuita Mulungu/Sebha/Nyamuhanga/Kyala etc
Ukisoma vitabu vya kiislamu vinavyoelezea itikadi na Tawheed (Yaani upweke wa Allah). Kuna kanuni inasema " Majina ya Allah ni tawkifiyyah (Yaani hayabadiliki,hayanyumbuliki kimaana,yaani tunamuita kwa majina ambayo yeye mwenyewe Allah amejiita kwayo au kwa yale majina ambayo aliitwa na mtume wake). Kwa maana ni kuwa hata hao waislamu wanaomuita Allah kwa jina la Mungu,wanakosea na wanatakiwa kuelimishwa.Natumai wote ni wazima humu jamvini
Baada ya kusoma baadhi nyuzi zinazojumuisha masuala ya kiimani nimeona baadhi ya maneno yakikebehi hili jina/neno (ALLAH)
Kwa hiyo baada ya kuona hili ni tatizo nimeonelea bora nitoe ufafanuzi kidogo ambao unaweza kutupa faida sote
Kwanza kabisa kwenye upande wa fasihi na lugha ALLAH haimaanishi mungu kama kwa kiingereza tunavyosema GOD na kiarabu ILAH,, je kwanini ALLAH maana yake sio mungu na waislamu wanasema mungu? Maswali kama hayo watu tunajiuliza vichwani mwetu
Majibu ya maswali yetu ni haya tunavyosema MUNGU ni inategemea na imani ya mtu,, mwengine atasema sanamu ndiyo mungu wake,, wengine mizimu na wengine mwezi na wengine jua,, ila unavyosema ALLAH unazungumzia mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa na kuombwa hakika yeye ndiye mkuu na muweza wa yote.
Wengine watauliza kwanini wakristo hawasemi kama ALLAH ndiye mungu wao ??
Hii ni kwasababu ya lugha husika katika lugha ya kiingereza hakuna tafsiri au neno linalo simama kwa (mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa muweza wa yote) ila kunatafsiri ya MUNGU wa kawaida ambaye kila mtu anaweza mfanya kwa mtazamo wake
Na kuhakikisha hilo ukija kuchukua biblia ya st james iliyo katika lugha ya kiarabu utakuta neno hilo ALLAH lipo katika biblia
Dhumuni la huu uzi lilikua ni kutoa ufafanuzi wa hili neno kwa kifupi kama kuna sehemu nimekosea wajuzi zaidi mtarekebisha maana tupo humu kujifunza
Nawasilisha
Bro wewe ni muongo !Mkuu wacha nikufundishe kidogo, neno "allah". haimaanishi mungu yule sisi wakiristo tunaabudu LA LA KABISA, nataka kukuambia hii neno na huyu mungu anaitwa allah na wafuasi wa dini ya kiislamu lilitoka wapi, kula jangwani la zamani huko saudi arabia watu walikuwa wanaabudu miungu mingi, wakati mohhamed amekuja na kuleta dini ya islam, mohhamed akaona ni vyemma achukue tu jina moja kati ya hizi miungu, na akachukua mungu anaitwa allah,ukitaka mengi kuhusu hio jina enda kwa youtube na uweke APOSTATE PROPHET, na hapo utapata ukweli mtupu, barikiwa na YESHUA HAMASSIAH
Hapa bro naomba unipe ushahidi,ili nifaidike.Talizo Allah lilitumika na wapagani wa macca kabla ya uislam wakimwita ndio mungu wao.
Baada ya Muislam wa kwanza Muhammad kuuanzisha uisam nae akaendelea kulitumia jina lilelile lililotumika na wapagani kumuita mungu wao!
okay teach us the truth then, you just cant call me a LIAR without giving reasons as to why i am a LIAR, i am waiting for your answer pls sirBro wewe ni muongo !
nimesema huko juu mtazamo wangu naomba wako ukisoma hiyo comenti yangu.Unajua maana ya ALLAH ?
Baba yake Mohammed alikuwa anaitwa nani! Jina lake linamaanisha nini? na alikuwa anaabudu dini gani?Hapa bro naomba unipe ushahidi,ili nifaidike.
Bro usipende mteremko,kuna wakati huwa tunatoa maana ya jambo kwa mifano.okay teach us the truth then, you just cant call me a LIAR without giving reasons as to why i am a LIAR, i am waiting for your answer pls sir