Rough player
Member
- May 26, 2018
- 39
- 120
Natumai wote ni wazima humu jamvini
Baada ya kusoma baadhi nyuzi zinazojumuisha masuala ya kiimani nimeona baadhi ya maneno yakikebehi hili jina/neno (ALLAH)
Kwa hiyo baada ya kuona hili ni tatizo nimeonelea bora nitoe ufafanuzi kidogo ambao unaweza kutupa faida sote
Kwanza kabisa kwenye upande wa fasihi na lugha ALLAH haimaanishi mungu kama kwa kiingereza tunavyosema GOD na kiarabu ILAH,, je kwanini ALLAH maana yake sio mungu na waislamu wanasema mungu? Maswali kama hayo watu tunajiuliza vichwani mwetu
Majibu ya maswali yetu ni haya tunavyosema MUNGU ni inategemea na imani ya mtu,, mwengine atasema sanamu ndiyo mungu wake,, wengine mizimu na wengine mwezi na wengine jua,, ila unavyosema ALLAH unazungumzia mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa na kuombwa hakika yeye ndiye mkuu na muweza wa yote.
Wengine watauliza kwanini wakristo hawasemi kama ALLAH ndiye mungu wao ??
Hii ni kwasababu ya lugha husika katika lugha ya kiingereza hakuna tafsiri au neno linalo simama kwa (mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa muweza wa yote) ila kunatafsiri ya MUNGU wa kawaida ambaye kila mtu anaweza mfanya kwa mtazamo wake
Na kuhakikisha hilo ukija kuchukua biblia ya st james iliyo katika lugha ya kiarabu utakuta neno hilo ALLAH lipo katika biblia
Dhumuni la huu uzi lilikua ni kutoa ufafanuzi wa hili neno kwa kifupi kama kuna sehemu nimekosea wajuzi zaidi mtarekebisha maana tupo humu kujifunza
Nawasilisha
Baada ya kusoma baadhi nyuzi zinazojumuisha masuala ya kiimani nimeona baadhi ya maneno yakikebehi hili jina/neno (ALLAH)
Kwa hiyo baada ya kuona hili ni tatizo nimeonelea bora nitoe ufafanuzi kidogo ambao unaweza kutupa faida sote
Kwanza kabisa kwenye upande wa fasihi na lugha ALLAH haimaanishi mungu kama kwa kiingereza tunavyosema GOD na kiarabu ILAH,, je kwanini ALLAH maana yake sio mungu na waislamu wanasema mungu? Maswali kama hayo watu tunajiuliza vichwani mwetu
Majibu ya maswali yetu ni haya tunavyosema MUNGU ni inategemea na imani ya mtu,, mwengine atasema sanamu ndiyo mungu wake,, wengine mizimu na wengine mwezi na wengine jua,, ila unavyosema ALLAH unazungumzia mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa na kuombwa hakika yeye ndiye mkuu na muweza wa yote.
Wengine watauliza kwanini wakristo hawasemi kama ALLAH ndiye mungu wao ??
Hii ni kwasababu ya lugha husika katika lugha ya kiingereza hakuna tafsiri au neno linalo simama kwa (mungu mmoja anayepaswa kuabudiwa muweza wa yote) ila kunatafsiri ya MUNGU wa kawaida ambaye kila mtu anaweza mfanya kwa mtazamo wake
Na kuhakikisha hilo ukija kuchukua biblia ya st james iliyo katika lugha ya kiarabu utakuta neno hilo ALLAH lipo katika biblia
Dhumuni la huu uzi lilikua ni kutoa ufafanuzi wa hili neno kwa kifupi kama kuna sehemu nimekosea wajuzi zaidi mtarekebisha maana tupo humu kujifunza
Nawasilisha