Melvine JF-Expert Member Joined Apr 3, 2013 Posts 701 Reaction score 1,334 Jun 22, 2024 #21 Papasa said: Mfano mzuri wa banana republic ni Tanzania Click to expand... No
Melvine JF-Expert Member Joined Apr 3, 2013 Posts 701 Reaction score 1,334 Jun 22, 2024 #22 NgerukeAbra said: Vipi Tanzaniha yetu?.... nahisi nayo ni Banana republic! Click to expand... Hapana Tz yetu si banana republic
NgerukeAbra said: Vipi Tanzaniha yetu?.... nahisi nayo ni Banana republic! Click to expand... Hapana Tz yetu si banana republic
Melvine JF-Expert Member Joined Apr 3, 2013 Posts 701 Reaction score 1,334 Jun 22, 2024 #23 Zifuatazo ni nchi ambazo kimsimgi zinajulikana kama banana republic kwa tasfiri niliyoisema kwenye post #2 Nchi hizo ni Nicaragua, Botswana, Guatemala, Honduras, Nigeria, Zambia, Banglasesh, Panama na Costa Rica.
Zifuatazo ni nchi ambazo kimsimgi zinajulikana kama banana republic kwa tasfiri niliyoisema kwenye post #2 Nchi hizo ni Nicaragua, Botswana, Guatemala, Honduras, Nigeria, Zambia, Banglasesh, Panama na Costa Rica.
Vesuvius JF-Expert Member Joined Jun 27, 2021 Posts 2,478 Reaction score 5,102 Jun 22, 2024 #24 Melvine said: Hapana Tz yetu si banana republic Click to expand... Wewe wasema
A Adiosamigo JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 7,681 Reaction score 9,892 Jun 22, 2024 #25 Imeloa said: Na wewe pia tukusemeje kwa nchi za kiislam na mataifa ya kiimla kama Russia, China, Iran na North Korea. Click to expand... We umezidi mpaa unakuwa chizi kama uncle wako Biden
Imeloa said: Na wewe pia tukusemeje kwa nchi za kiislam na mataifa ya kiimla kama Russia, China, Iran na North Korea. Click to expand... We umezidi mpaa unakuwa chizi kama uncle wako Biden
adakiss23 JF-Expert Member Joined Jan 23, 2011 Posts 4,732 Reaction score 4,901 Jun 22, 2024 #26 Melvine said: Banana Republic inatokea au ni pale serikali ya nchi fulani inaendesha nchi katika uchumi wa kibepari, nchi inaendeshwa kama biashara ya mtu/ watu binafsi na kwa faida pekee kwa tabaka tawala la nchi hiyo. Click to expand... Mfano mzuri, hapo Kampala Uganda
Melvine said: Banana Republic inatokea au ni pale serikali ya nchi fulani inaendesha nchi katika uchumi wa kibepari, nchi inaendeshwa kama biashara ya mtu/ watu binafsi na kwa faida pekee kwa tabaka tawala la nchi hiyo. Click to expand... Mfano mzuri, hapo Kampala Uganda