Melvine
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 701
- 1,334
NoMfano mzuri wa banana republic ni Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoMfano mzuri wa banana republic ni Tanzania
Hapana Tz yetu si banana republicVipi Tanzaniha yetu?.... nahisi nayo ni Banana republic!
Wewe wasemaHapana Tz yetu si banana republic
We umezidi mpaa unakuwa chizi kama uncle wako BidenNa wewe pia tukusemeje kwa nchi za kiislam na mataifa ya kiimla kama Russia, China, Iran na North Korea.
Mfano mzuri, hapo Kampala UgandaBanana Republic inatokea au ni pale serikali ya nchi fulani inaendesha nchi katika uchumi wa kibepari, nchi inaendeshwa kama biashara ya mtu/ watu binafsi na kwa faida pekee kwa tabaka tawala la nchi hiyo.