Nini maana ya Flagship phone?

Nini maana ya Flagship phone?

Habari za muda huu mwez mmoja uliopita nilikuwa na samsung note 9, kuna mtu alikuja na oppo A93 kwa kuwa nilipenda ile simu nilibadilishana naye, nilipo kuja mwambia rafiki yangu mmoja alinicheka sanaa aliniambia yaani umekubali kubadilishana flagship phone na simu za kawaida bila kuongezewa hela yeyote, ile nikamuuliza flagship ndio nini yaya akaniambia hana maelezo sanaa kuhusu flagship ila tu nijue note na S series ni flagship na simu nzuri zaidi.

Sasa naombeni mnisaidie hapa maana ya flagship na sifa gani simu inatakiwa iwe nazo ili iitwe flagship? Je naweza jua Series nyingine za simu ambazo ni flagship? Mfano S na NOTE kwa samsung? Asanteni sana na kwa bajeti ya laki 8 hadi 9 simu gani nzuri naweza pata (mimi kama mimi nilikuwa na plan na iphone xs max ingawa nimeambiwa ni ndogo sana kuipata kwa hii bei)
Chief-Mkwawa T14 Armata

Note 9 inamika mingapi mpaka sasa.je thamani yake kwa sasa na umetumia mda mgani wakati hiyo oppo a93 imetoka 2020.sio mbaya .
Labda ungebadilishana na kitu kilichopo nyuma zaidi
 
Kumbe eeennh siyo mbaya

Oppo,one plus ,mi wanateknolojia ambazo kila mtu hana mudu sio fulani fulani
IMG_4609.jpg
 
mbona mimi nina mpango wa kununua OPPO a93 na dizaini kama nime ielewa sana
Ni nzur kama cyo mpenz wa mambo meng kuna sometime nikipigisha game kwa muda mrefu huwa kma ina chemka sijui n zote zipo hvyo au ni mm tu then camera yake hata sijailewa kwa upande wangu cjui detail zake za uongo maana kama vile zinaukungu flan hv
 
Ni nzur kama cyo mpenz wa mambo meng kuna sometime nikipigisha game kwa muda mrefu huwa kma ina chemka sijui n zote zipo hvyo au ni mm tu then camera yake hata sijailewa kwa upande wangu cjui detail zake za uongo maana kama vile zinaukungu flan hv
kwani yeye alinunua mda gani na je alichukua dukani au kwa mtu
 
Ni nzur kama cyo mpenz wa mambo meng kuna sometime nikipigisha game kwa muda mrefu huwa kma ina chemka sijui n zote zipo hvyo au ni mm tu then camera yake hata sijailewa kwa upande wangu cjui detail zake za uongo maana kama vile zinaukungu flan hv
kwangu mimi kuna mtu alikkuwa ana ni hadithia kuwa oppo ni simu nzuri sana kwenye swala la camera huwa iko poa sana. sasa sijajua hiyo ya kwako
 
Kama walivyosema flagship huja na features kali sana katika mwaka au kipindi husika.

Angalizo kuu hapo ni mwaka, kwa maana unaweza ukawa na flagship ya zamani ambayo tayari hata simu ambazo sio flagship zimeipita kwa features kali.

Kwangu naona jambo la msingi ni kuangalia mwaka wa toleo la simu, pamoja na features nyingine kama uwezo wa battery, ukubwa wa RAM, Nguvu ya chip ya simu, aina ya kioo, nguvu na uwezo wa camera na mengineyo
 
Hatari Sana Haya Mambo Ya Technology
Samsung Galaxy S6 SM-G920F European Model
Kwasasa Hivi Bado Ipo Kwenye Hayo Mnayoyasema?
 
Hatari Sana Haya Mambo Ya Technology
Samsung Galaxy S6 SM-G920F European Model
Kwasasa Hivi Bado Ipo Kwenye Hayo Mnayoyasema?
Hii ni flagship ndio..ila ya miaka 6 iliyopita
 
Sasa bouy mi 9pro ni flagship ya xiaomi ? Ya mwaka gani .So far ni simu nzur sana ila sio flagship
 
Back
Top Bottom