Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Watakuambia zabibu ni zao la kimkakati, a.k.a black diamond 😂😂Na Kuna watu wao na PDF hakuna utofauti, utamkuta anakupa details as if yeye ndio mhusika wa kilimo fulani.
Mara ooh zabibu pale Dodoma zinalipa sana.
Hua najiuliza kwan wao hawataki hzo hela.