Nini maana ya msemo 'Mwenda tezi na omo marejeo ngamani'

mimi na maskini wenzangu tunaitumia kuwakosoa au kujifariji endapo tunaona wenzetu wanaishi maisha mazuri tunabaki kusema mwenda tezi(yeye) na omo(mimi) marejeo ni ngamani(chini)
 
Ni Kama Prof Kabudi mzee wa Jalalani, kahangaika wee na misukosuko ya kisiasa sasa kurejea Ngamani-UDSM. Ngamani ni hatma yako. Kisayansi ngamani ni Centre of Gravity (point of stability).
 
Ni Kama Prof Kabudi mzee wa Jalalani, kahangaika wee na misukosuko ya kisiasa sasa kurejea Ngamani-UDSM. Ngamani ni hatma yako. Kisayansi ngamani ni Centre of Gravity (point of stability).
 
Nimefurahi sana leo , hatimae nimepata majibu
 
Ahaaaa, dah

Wengine walikuwa wanafikiri 'Omo' sabuni na 'Tezi' ni tezi dume...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…