Nini Maana ya Tofauti hizi katika Huduma zitolewazo katika Hospitali zetu?

Nini Maana ya Tofauti hizi katika Huduma zitolewazo katika Hospitali zetu?

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari ,Hivi wana Jf hizi tofauti zina Maana gani katika sekta ya Afya ? hizi tofauti kimtazamo ni kama ndogo lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa :-

1.Unakwenda hospitali A unambiwa kwenye figo kuna Maji unakwenda hospitali B siku hiyo hiyo unambiwa hauna shida yoyote au unaenda hospitali A unaambiwa unauvimbe unaenda B huna .

2.Unakwenda Hospitali A unaambiwa hizi dawa kwa hali yako ndio zitakufaa sana Unakwenda Hospitali B unabadilishiwa Dawa unaambiwa hutakiwi kutumia hizo Dawa .

3.Unakwenda Hospitali A unaambiwa unatakiwa ufanyiwe Upasuaji unakwenda Hospitali B unaambiwa huhitaji upasuaji Dawa tu zinatosha .

Nimejiuliza sana hivi sekta Nyeti kama hii kwanini kuwe wataalamu wanaokinzana hivi ?

Je Vyuo vyetu vya kupika wataalamu wa afya vimekuwa vibovu kiasi Hiki ? .Maana kuna tofauti Nyingi sana na hizi ni badhi tu ya Tofauti
 
Habari ,Hivi wana Jf hizi tofauti zina Maana gani katika sekta ya Afya ? hizi tofauti kimtazamo ni kama ndogo lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa :-

1.Unakwenda hospitali A unambiwa kwenye figo kuna Maji unakwenda hospitali B siku hiyo hiyo unambiwa hauna shida yoyote au unaenda hospitali A unaambiwa unauvimbe unaenda B huna .

2.Unakwenda Hospitali A unaambiwa hizi dawa kwa hali yako ndio zitakufaa sana Unakwenda Hospitali B unabadilishiwa Dawa unaambiwa hutakiwi kutumia hizo Dawa .

3.Unakwenda Hospitali A unaambiwa unatakiwa ufanyiwe Upasuaji unakwenda Hospitali B unaambiwa huhitaji upasuaji Dawa tu zinatosha .

Nimejiuliza sana hivi sekta Nyeti kama hii kwanini kuwe wataalamu wanaokinzana hivi ?

Je Vyuo vyetu vya kupika wataalamu wa afya vimekuwa vibovu kiasi Hiki ?
Baadhi ya vipimo ni user dependent ... changanya na uzoefu sasa kuna mahali watatofautiana.

Kingine level ya elimu ya anayekuhudumia+ setting aliyopo + Uzoefu .

Mwisho kabisa ... kujiendeleza katika taaluma ... watu wengi wakipata Ajira hawasomi tena , Mwendo ni kufukuzia shilingi tuu utatibiwa na atakachokumbuka kwa wakati huo.
 
Baadhi ya vipimo ni user dependent ... changanya na uzoefu sasa kuna mahali watatofautiana.

Kingine level ya elimu ya anayekuhudumia+ setting aliyopo + Uzoefu .

Mwisho kabisa ... kujiendeleza katika taaluma ... watu wengi wakipata Ajira hawasomi tena , Mwendo ni kufukuzia shilingi tuu utatibiwa na atakachokumbuka kwa wakati huo.
hakika
 
Ni msala Sana , vitu vingine unagoogle mkuu , unaenda na idea , ukifika daktar unanzishs nae mjadala kidog utajua mbivu na mbichi....
 
Habari ,Hivi wana Jf hizi tofauti zina Maana gani katika sekta ya Afya ? hizi tofauti kimtazamo ni kama ndogo lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa :-

1.Unakwenda hospitali A unambiwa kwenye figo kuna Maji unakwenda hospitali B siku hiyo hiyo unambiwa hauna shida yoyote au unaenda hospitali A unaambiwa unauvimbe unaenda B huna .

2.Unakwenda Hospitali A unaambiwa hizi dawa kwa hali yako ndio zitakufaa sana Unakwenda Hospitali B unabadilishiwa Dawa unaambiwa hutakiwi kutumia hizo Dawa .

3.Unakwenda Hospitali A unaambiwa unatakiwa ufanyiwe Upasuaji unakwenda Hospitali B unaambiwa huhitaji upasuaji Dawa tu zinatosha .

Nimejiuliza sana hivi sekta Nyeti kama hii kwanini kuwe wataalamu wanaokinzana hivi ?

Je Vyuo vyetu vya kupika wataalamu wa afya vimekuwa vibovu kiasi Hiki ?
Ndugu, wacha kuongea juu ya hospitali A na B.
Hospitali moja, unafanyiwa matibabu au hata upasuaji na tabibu mmoja, unarudi baada ya muda kwa kuangaliwa maendeleo yako, unakutana na tabibu mwingine, anauliza nani aliyekufanyia hivi? Alitakiwa afanye hivi na vile! Mgonjwa sijui unafanya nini katika hali hii?!
 
Habari ,Hivi wana Jf hizi tofauti zina Maana gani katika sekta ya Afya ? hizi tofauti kimtazamo ni kama ndogo lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa :-

1.Unakwenda hospitali A unambiwa kwenye figo kuna Maji unakwenda hospitali B siku hiyo hiyo unambiwa hauna shida yoyote au unaenda hospitali A unaambiwa unauvimbe unaenda B huna .

2.Unakwenda Hospitali A unaambiwa hizi dawa kwa hali yako ndio zitakufaa sana Unakwenda Hospitali B unabadilishiwa Dawa unaambiwa hutakiwi kutumia hizo Dawa .

3.Unakwenda Hospitali A unaambiwa unatakiwa ufanyiwe Upasuaji unakwenda Hospitali B unaambiwa huhitaji upasuaji Dawa tu zinatosha .

Nimejiuliza sana hivi sekta Nyeti kama hii kwanini kuwe wataalamu wanaokinzana hivi ?

Je Vyuo vyetu vya kupika wataalamu wa afya vimekuwa vibovu kiasi Hiki ?
Mauzauza hoyee [emoji1417]
 
Unaenda hapa unaambiwa una malaria unaenda kule unaambiwa hauna malaria..hatari sana
 
Habari ,Hivi wana Jf hizi tofauti zina Maana gani katika sekta ya Afya ? hizi tofauti kimtazamo ni kama ndogo lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa :-

1.Unakwenda hospitali A unambiwa kwenye figo kuna Maji unakwenda hospitali B siku hiyo hiyo unambiwa hauna shida yoyote au unaenda hospitali A unaambiwa unauvimbe unaenda B huna .

2.Unakwenda Hospitali A unaambiwa hizi dawa kwa hali yako ndio zitakufaa sana Unakwenda Hospitali B unabadilishiwa Dawa unaambiwa hutakiwi kutumia hizo Dawa .

3.Unakwenda Hospitali A unaambiwa unatakiwa ufanyiwe Upasuaji unakwenda Hospitali B unaambiwa huhitaji upasuaji Dawa tu zinatosha .

Nimejiuliza sana hivi sekta Nyeti kama hii kwanini kuwe wataalamu wanaokinzana hivi ?

Je Vyuo vyetu vya kupika wataalamu wa afya vimekuwa vibovu kiasi Hiki ?
Kuna wababaishaji wengi waliopass mitihani kimagumashi
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Natatanishwa na maneno duka la dawa muhimu, ina maana kuna dawa zisizo muhimu?
 
Baadhi ya vipimo ni user dependent ... changanya na uzoefu sasa kuna mahali watatofautiana.

Kingine level ya elimu ya anayekuhudumia+ setting aliyopo + Uzoefu .

Mwisho kabisa ... kujiendeleza katika taaluma ... watu wengi wakipata Ajira hawasomi tena , Mwendo ni kufukuzia shilingi tuu utatibiwa na atakachokumbuka kwa wakati huo.
Ndio maana watu wetu wanakufa hivyo Kwa kupewa dawa au tiba wasiyostahili. Ma Drs wako.kufukuza Shilingi lakini sio utaalam.
Niliwahi mpeleka ndugu yangu hospitali. Siku hiyo nilifanya utafiti kwenye dirisha la dawa. Sikuamini.
Zaidi ya wagonjwa 22 niliohesabu 18 waliandikiwa dawa aina Moja tu!! Nikajiuliza wanaumia ugonjwa mmoja?? Yaani ni mauzauza.
Dr hawezi kumwita Dr mwenzake wakajadili ugonjwa unaenda ndani unaandikiwa tuu na walivyo what's hawawezi hoji
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Ni msala Sana , vitu vingine unagoogle mkuu , unaenda na idea , ukifika daktar unanzishs nae mjadala kidog utajua mbivu na mbichi....
ukiwa mjuaji sana mtagombana
 
Madokta wengine ni wa mchongo na ndio wanasababisha madhara kwa mgonjwa sometimes
 
Ndugu, wacha kuongea juu ya hospitali A na B.
Hospitali moja, unafanyiwa matibabu au hata upasuaji na tabibu mmoja, unarudi baada ya muda kwa kuangaliwa maendeleo yako, unakutana na tabibu mwingine, anauliza nani aliyekufanyia hivi? Alitakiwa afanye hivi na vile! Mgonjwa sijui unafanya nini katika hali hii?!
Yamenikuta leo na dr akanifokea kweli kwa ninj nameza dawa flani mara moja kwa siku na sio mara mbili, nikamwambia haya maelezo nilipewa na dr akajibu yani umeshindwa hata kugugo, nikaona nisimjibu chochote kwan niliona dalili ya yeye kutaka kuniangushia ugumu wa maisha yake mimi
 
Habari ,Hivi wana Jf hizi tofauti zina Maana gani katika sekta ya Afya ? hizi tofauti kimtazamo ni kama ndogo lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa :-

1.Unakwenda hospitali A unambiwa kwenye figo kuna Maji unakwenda hospitali B siku hiyo hiyo unambiwa hauna shida yoyote au unaenda hospitali A unaambiwa unauvimbe unaenda B huna .

2.Unakwenda Hospitali A unaambiwa hizi dawa kwa hali yako ndio zitakufaa sana Unakwenda Hospitali B unabadilishiwa Dawa unaambiwa hutakiwi kutumia hizo Dawa .

3.Unakwenda Hospitali A unaambiwa unatakiwa ufanyiwe Upasuaji unakwenda Hospitali B unaambiwa huhitaji upasuaji Dawa tu zinatosha .

Nimejiuliza sana hivi sekta Nyeti kama hii kwanini kuwe wataalamu wanaokinzana hivi ?

Je Vyuo vyetu vya kupika wataalamu wa afya vimekuwa vibovu kiasi Hiki ? .Maana kuna tofauti Nyingi sana na hizi ni badhi tu ya Tofauti
Na Kila hospitali haiamini vipimo vya hosp ya mwenzake mpk itafika wakati mtawadhuru wagonjwa.
 
Yamenikuta leo na dr akanifokea kweli kwa ninj nameza dawa flani mara moja kwa siku na sio mara mbili, nikamwambia haya maelezo nilipewa na dr akajibu yani umeshindwa hata kugugo, nikaona nisimjibu chochote kwan niliona dalili ya yeye kutaka kuniangushia ugumu wa maisha yake mimi
ndio hivyo kuna shida sehemu
 
Nilienda hospitali X tumbo linaniuma kinyama wakapima vipimo vyao vyote hamna ugonjwa serious nikapewa dawa nikaambiwa tumbo litapoa pia ninywe maji mengi.
Kufika home Mimi nakunywa zile dawa na maji ya kutosha nasikilizia hakuna nafuuu yoyote maumivu ndo yanaongezeka.


Usiku mnene yakanishinda nikaenda hospitali Y kufika tu nikakutana na "emergency op" yaani haikuingia Kwenye schedule oparesheni ikachukusaa matatu mshono nyuzi 26 vertically tumbo lote.

Kumbe nilikuwa na "intestinal obstruction secondary to sigmoid volvulus"
Nikaambiwa Kama ningechelewa hospitali Y ingekuea ndo bas tena.

Sasa Yule fala wa hospitali X angesababisha saivi ningekuwa six feet under.
 
Back
Top Bottom