Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Decoder yako ni HD? Unatumia HDMI?Natumia hisense inch 55 na dstv ila sjui kwann channel nying hazionesh clear yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Decoder yako ni HD? Unatumia HDMI?Natumia hisense inch 55 na dstv ila sjui kwann channel nying hazionesh clear yani
Ndiyo ni HD za sasa hivi,HDMI natumia ndyoDecoder yako ni HD? Unatumia HDMI?
Je ukitumia flash bado inazingua?Ndiyo ni HD za sasa hivi,HDMI natumia ndyo
Hapana,youtube nkiweka resoultion kubwa iko poa na flash ni poa tu kulingana na movie quality yenyew,a channel za dstv nyingi spati ile clear kabisa e.g MTVJe ukitumia flash bado inazingua?
Sio chanell zote ni HD mkuu, eka chanell ambayo ni HD bado inaonesha vibaya?Hapana,youtube nkiweka resoultion kubwa iko poa na flash ni poa tu kulingana na movie quality yenyew,a channel za dstv nyingi spati ile clear kabisa e.g MTV
Zamani nilikuwa naona hili neno kwenye tape za cassette sijui ni teknolojia ya kitu ganiDolby vision kuongeza huo mng'ao wa picha.
Dolby ni kampuni kama unavyosema Apple ama Samsung, sema yenyewe imejikita kutengeneza technology za picha na sauti.Zamani nilikuwa naona hili neno kwenye tape za cassette sijui ni teknolojia ya kitu gani
Yan ni tofaut na nvokua nkitumia inch 43Sio chanell zote ni HD mkuu, eka chanell ambayo ni HD bado inaonesha vibaya?
Ubarikiwe sana nimejifunza jambo muhimu hapa🙏🙏Dolby ni kampuni kama unavyosema Apple ama Samsung, sema yenyewe imejikita kutengeneza technology za picha na sauti.
Mfano kwenye Simu ama vifaa vingine utaona kuna kitu kinaitwa Dolby Atmos, hii ni kwa ajili ya sauti ikiwepo speaker zinapiga vizuri zaidi.
Kuna hio Dolby vision kwa ajili ya picha, ikiwepo contrast inakuwa kubwa vitu vinavyong'aa vina Ng'aa zaidi na vilivyofifia vinafifia zaidi.
Maybe mkuu inch 43 yako ilikua nzuri zaidi maana size ya display haimaanishi ina tech nzuri zaidi.Yan ni tofaut na nvokua nkitumia inch 43
Ndio hapo play music bila Atmos then pause, weka on Atmos piga tena mziki uone utofauti.
Kwa kifurushi cha Shangwe dstv channel HD ni 17 ambazo niHapana,youtube nkiweka resoultion kubwa iko poa na flash ni poa tu kulingana na movie quality yenyew,a channel za dstv nyingi spati ile clear kabisa e.g MTV
Mmmh basi ndo maana za local ziko blurry,bt kuna ka LG inch 24 mbona kanaonesha local channel clear tu kuliko hii hisense ya 55Kwa kifurushi cha Shangwe dstv channel HD ni 17 ambazo ni
108 M-net movie 4
113 movie room
114 kix
128 wwe
136 discover family
152 africa magic epic
153 africa magic urban
160 maisha magic bongo
166 zee world
171 discover id
219 espn 2
220 super sport blits
224 super sport la liga
225 super sport football
228 super sport variety 3
301 cartoon network
405 Newroom africa
Kumbuka idadi ya pixels za picha yaani vile viboxi vidogo vinavyounda picha ni ile ile so screen ndogo pixels zinakuwa nyingi katika eneo dogo unapata pixel per inch kubwa picha inaonekana sharp, TV kubwa pixel zinabidi zipanuke zaidi pixel moja inabidi ichukue eneo kubwa zaidi ppi inakuwa imeshuka na picha inaonekana haijakolea ni kama ufungue picha kwenye simu kisha ufanye zoom mara ×20. Ndo maana screen kubwa bila HD source material haipendezi sana.Mmmh basi ndo maana za local ziko blurry,bt kuna ka LG inch 24 mbona kanaonesha local channel clear tu kuliko hii hisense ya 55
Ka google translate huyosasa wewe ndo unafanya tuchanganyikiwe zaidi kuhusu tv
hivi nini kinaendelea hapaa[emoji56]
Netflix ukiangalia movie ya 4k bando la 20 halitobii Kwa movie mojaContent za 4K tatizo ni chache sana, ukidownload movi ya 4K (2160) inaweza kugonga 20GB au zaidi au utumie baadhi ya blueray disk, dtsv naamini walionyesha World Cup kwenye 4K ila sijui kama wana content nyingine za 4K, netflix kama unalipia premium pia kuna baadhi ya movie ni 4k ila data itakugharimu.
Ni kama 6.5GB-11.5GB kwa saa kutegemea na content yenyewe.Netflix ukiangalia movie ya 4k bando la 20 halitobii Kwa movie moja