under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 389
- 595
Kweli kabisaUmekasilishwa na nini mkuu?
Huoni km ktokana na swali lake tumenufaika wengi kutokana na elimu waliyotoa wataalamu wenye utaalamu kukuzidi wewe na Google yako?
Lkn pia elewa kwamba tonatofautiana,mimi na baadhi ya wataalamu hapa huwa ninanufaika zaidi pale ninapo mpatia mtu maarifa juu ya jambo nililo na ujuzi nalo,kwao Chief Makwawa na wengineo hapa ni miongoni mwa watu wa aina hiyo.