Nini maana ya TV yenye 4K UHD

Kweli kabisa
 
Kunagaida gani kuwa na simu ya 5G halafu huwezi kupata unachokitaka bila kumtegemea mtu mwingine, simu yako ya bei kali inakupa kila ukitakacho.
acha kabisa kijana elimu ya jf ni kubwa huwezi linganisha na Google sie wenyewe tunasaka vitu uko tusipoelewa tunakuja humu, umu namo tusipoelewa tunawanyookea watu direct
KUMBUKA sio kila kitu utalipata google
 
Kwamba tunapongeza tu alafu kazi tunazopongeza tunazitafuta na tochi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ