gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Kila siku? watu wa namna yako ni wale wanaotumia dakika 10 wameshakojoa na kesho tena dk 10 umekojoa hivyohivyo na utakuta ni mtu wa bao 1 tu yaani huwezi kurudia la pili. Kama kweli ni mtu unamkaza kisawasawa mkeo yaani unakaa kifuani dk 40 au lisaa 1 sidhani kama kesho yake utataka au atataka tena.
Kwa hiyo kwa kifupi una vinyege mshindo na inaonekana hujaoa siku nyingi.
Okay, kuhusu madhara ni kuwa kila bao 1 unalopiga ni sawa na kutembea kwa miguu kilomita 27, bilashaka unachoka sana, utachoka mwili, utaishiwa nguvu, na mwisho utapata ukimwi.
samahani sioni vizuri umeandika kilomita 27 au 7?