Nini Madhara Ya Kufanya Mapenzi Mara Kwa Mara!

Nini Madhara Ya Kufanya Mapenzi Mara Kwa Mara!

Kila siku? watu wa namna yako ni wale wanaotumia dakika 10 wameshakojoa na kesho tena dk 10 umekojoa hivyohivyo na utakuta ni mtu wa bao 1 tu yaani huwezi kurudia la pili. Kama kweli ni mtu unamkaza kisawasawa mkeo yaani unakaa kifuani dk 40 au lisaa 1 sidhani kama kesho yake utataka au atataka tena.

Kwa hiyo kwa kifupi una vinyege mshindo na inaonekana hujaoa siku nyingi.

Okay, kuhusu madhara ni kuwa kila bao 1 unalopiga ni sawa na kutembea kwa miguu kilomita 27, bilashaka unachoka sana, utachoka mwili, utaishiwa nguvu, na mwisho utapata ukimwi.

samahani sioni vizuri umeandika kilomita 27 au 7?
 
Mh?kumbe Hadi Kupata Busha?
Heeeee sasa wewe hujui yaani mpaka akiwa kwenye period unajipigia tu kwanini usilivae Busha na mirija kuziba?
Kwanza umri wako unaonesha unapenda sana huko ulikotokea na utakinai mapema sana
 
wewe oa wake wanne dini inaruhusu...kumuingilia akiw ktk cku zake c haki na u***nz....ukatil hiyo haina dawa mkuu ni maumbile tayar hayo
 
Kila siku? watu wa namna yako ni wale wanaotumia dakika 10 wameshakojoa na kesho tena dk 10 umekojoa hivyohivyo na utakuta ni mtu wa bao 1 tu yaani huwezi kurudia la pili. Kama kweli ni mtu unamkaza kisawasawa mkeo yaani unakaa kifuani dk 40 au lisaa 1 sidhani kama kesho yake utataka au atataka tena.

Kwa hiyo kwa kifupi una vinyege mshindo na inaonekana hujaoa siku nyingi.

Okay, kuhusu madhara ni kuwa kila bao 1 unalopiga ni sawa na kutembea kwa miguu kilomita 27, bilashaka unachoka sana, utachoka mwili, utaishiwa nguvu, na mwisho utapata ukimwi.

Sasa ukimwi umekujaje hapo wakati mwenzio kakuambia anamuomba mkeo tu?!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hivi mkuu, ni jinsia gani wanakufa mapema zaidi na ukimwi, me au ke?

Sasa ukimwi umekujaje hapo wakati mwenzio kakuambia anamuomba mkeo tu?!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Msamehe!!! siku hizi shule zimekua nyingi hata ukitajiwa majina huwezi kujua hii ni ya mkoa gani. Nimejiuluza sana kwa mtu aliyefanikiwa kumaliza ''angalau darasa la saba'', anaandika

1. Upunguza - badala ya Hupunguza.
2.
Usaidia - badala ya Husaidia.
3. Uongeza - badala ya Huongeza.


Tumejenga madarasa mengi - Politics bwana!!!


ndugu Ng'wale, hata mimi haya mambo yananishangaza sana, sijui yanatoka wapi?
 
Back
Top Bottom