Nini madhara ya kuweka "N" wakati gari inatembea?

hakuna madhara katika gari, mtindo huu unabana mafuta pia unapunguza uchakavu wa gears. Labda kiusalama wa barabarani inaweza kuwa na madhara hasa kama wewe simtundu wa mambo haya.
 
Nilipata shida sana siku hiyo mkuu
Yawesekana gari yako silencer yake ilikua chini sana mkuu af we baada ya kutupia N ukakanyaga mafuta likazima
Hua ni atari sana maana mifumo yote inayotegemea engine kujiendesha husimama aswa break hua ngumu .
 
Yawesekana gari yako silencer yake ilikua chini sana mkuu af we baada ya kutupia N ukakanyaga mafuta likazima
Hua ni atari sana maana mifumo yote inayotegemea engine kujiendesha husimama aswa break hua ngumu .
Ni kweli nilikanyaga mafuta tena niliyakanyaga hasa maana nilikuwa nje ya wakati, sikulijua hilo.
 
0 genious. .... ulichoandika sidhani km unakielewa # own fantasy .....
 
Gari inapokua kwenye motion ukaweka N then urudi D... kuna madhara makubwa saana kwenye Gia box ila madhara hayo yanajijenga taratibu kwa kuua meno ya gia box...
 
Nini utokea endapo ukaweka N then ukajisahau na kukanyaga mafuta
 
Kwenye mteremko geer ni muhimu ili emergence ikitokea uweze kutawala gari. Hata hivyo ni faida kwa wapiga nyoka .
 
Niliwahi soma sehemu kwamba gari ikiwa N halafu inaenda hata mzunguko wa oil kwenye engine unakuwa mdogo hivyo kupelekea kuichosha engine pia.
Na mimi nilikuwa na mtindo huo hasa kwenye mtelemko ila kuna siku nikajisahau badala ya kurudisha kwenye D nikapandisha juu kwenye R kilichotokea sitaki kukumbuka toka siku hiyo sifanyi ujinga huo
Hii jib ndo nilikua nalitaka,daah nashkuru kiongoz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…