Nini madhumuni ya uwepo wa binadamu?

Nini madhumuni ya uwepo wa binadamu?

Ni katone Kati ya mautundu ya Sir god kumuumba mwanadamu.. Na kampenda mwanadamu kuliko viumbe wengine na akimuona anamuabudu huwaambia malaika mnamuona mjawangu, Yu dhaifu\ana matamanio Laikini ananiabudu.
 
Kwanza kabisa dhana ya maamuzi iko katika hali ya utambuzi, utambuzi upo katika uwepo( essence)
Naam, huu uwepo upo wapi na kwa ridhaa ya nani kwa manufaa ya nani?
, hivyo uwepo wa mwanadam ni sheria asilia (law of nature) ambayo ni sawa na kusema ni Mungu (supreme being)
Kama ninakuelewa unasema Mungu ni sheria asilia. Kama nimekosea unirekebishe.

Kwa hiyo hii sheria asilia ipo kwa manufaa ya nani? Kama kwa binadamu, kwa nini binadamu hakushirikishwa katika uwepo/utungo wa hii sheria asilia[/QUOTE]
hivyo mwanadam hana uchaguzi wowote juu ya uwepo wake,
Huoni kama binadamu hakutendewa haki katika maamuzi ya uwepo wake?
pia asili imeweka ukomo wa uhuru wa mwanadam ambao humuweka katika maono ya utumwa, hata hivyo mwanadam akikiuka ukomo huu hujikuta katika matatizo.
Kwa nini binadamu analazimishwa katika jambo ambalo hakushirikiswa? Huoni kilichofanyika ni ubabe hasa ikichukuliwa hakushirikiswa hata katika uamuzi wa yeye kuwepo katika mazingira aliyopo au umbo alilopo.
Mungu alimuumba mwanadam ili kutimiza (siku sita ya saba akapumzika) utukufu wake, mwanadam yapaswa kumwabudu Mungu
Kwa hiyo unataka kusema, dhumuni la uwepo wa binadamu ni kumwabudu Mungu?
 
Naam, huu uwepo upo wapi na kwa ridhaa ya nani kwa manufaa ya nani?

Kama ninakuelewa unasema Mungu ni sheria asilia. Kama nimekosea unirekebishe.

Kwa hiyo hii sheria asilia ipo kwa manufaa ya nani? Kama kwa binadamu, kwa nini binadamu hakushirikishwa katika uwepo/utungo wa hii sheria asilia

Huoni kama binadamu hakutendewa haki katika maamuzi ya uwepo wake?

Kwa nini binadamu analazimishwa katika jambo ambalo hakushirikiswa? Huoni kilichofanyika ni ubabe hasa ikichukuliwa hakushirikiswa hata katika uamuzi wa yeye kuwepo katika mazingira aliyopo au umbo alilopo.

Kwa hiyo unataka kusema, dhumuni la uwepo wa binadamu ni kumwabudu Mungu?[/QUOTE]
Hakika
 
Mwanadamu ameumbwa ili atawale na kumiliki nchi na viumbe vyote(To have dominion over all creatures)
"Na tumfanye mtu kwa sura na kwa mfano wetu ili AKATAWALE na KUMILIKI viumbe vyote."
Genesis chapter 2.
 
Utakapoamua kuwa critical kuhusu dini/imani, na kuanza kuuliza maswali magumu na mengi yakiwa hayana majibu, hapo ndipo utakapoanza kujiuliza kuhusu unachoamini, n kuona kumbe labda unachoamini hakipo.

I decided I wouldn't be critical on matters related to Faith..
 
Ndg .
Mwadamu ni kama mnyama.
Hakika ni kiumbe kinachomilikiwa km vile mfinyanzi alivyo na umiliki juu ya chombo akiumbacho mikononi mwake.
Huna 100% ya uhuru wako. Ndo maana unajionea huruma kwa nn unaamuliwa hata uwepo wako.
Usijisumbue kuubadilisha ukweli huo coz hata babu zako karine zilizopita waliyatamani majibu ya maswali yako.


Kwa kua huwezi pambana na nguvu ya asili iliyokutengeneza!
Hekima ya kawaida ni kukubaliana na hali halisi na kuchagua ni aina gani ya hatima unayoitamani.

Weweza amua kuhasi juu ya muumba wako au
Kuamua kumtii yeye aliyekuumba.

Uhuru uo uko mikononi mwako , kuasi au kukubali kuwa mtumwa.

Wenzako tumekubali kuwa watumwa ki roho safi na kuanza kujifunza huyu jemedari wangu anataka ni fanye nini hapa duniani aliponipa nafasi ya kuishi kitambo tu.

Uzuri niliougundua uyu Bwana wetu ni mwingi wa upendo kuliko kuzani ananiwazia mabaya.
Anapenda niwe na amani, utulivu, nifanye kazi, nifanikiwe na hatimaye cku moja niishi naye milele.

Ndgu jaribu tu kuugeuza moyo wako, mfuate yeye kisha mwambie unapenda niishi vipi.

Nijaribu kujibu swali lako.
Nini kusudi la uumbaji.


Kusudi la uumbaji analo muumba.
Aweza kuwa na sababu nyingi za kutuumba ila katujulisha chache.
1: furaha yake ni pamoja na wanadamu.
Hivyo uwepo wa kiumbe mwanadamu ndiyo furaha yake.

2: ibada za mwanadamu ndicho chakula chake.
Hivyo alituumba ili kumpa sifa na utukufu sisi tulio vyombo vyake.

3. Sisi ni sehemu ya familia yake ya viumbe vyenye mwili.

Hivyo sisi tu viumbe vyake na pumuzi yetu imo mikononi mwake naye ametulithisha dunia hii nxuri.
Imejaa kila aina ya utukufu......

Najua utaniuliza mbona njaa, magonjwa, chuki, uadui, na uchafu na uzuni zote za dunia.

Ukweli amekwisha tujulisha jawabu la maswali hayo.......akisema.


Mpango wake mxuri uliitilafishwa na adui wa wanadamu yaani shetani.

Hivyo uzia wote ni matokeo ya dhambi kufka ulimwenguni.

Je hana mpango wa kutusaidia?


Mpango umekwisha thibika zaidi ya miaka 2000 iliyopita kupitia kristo yesu aliekuja kutangaza mpango mpya wa maisha baada ya kufa.

Mpango unasema Baba anaandaa makao mapya.
Huko hakutakua na giza , kilio wala huzuni.
Bali ni furaha pamoja na Bwana.

Ila mwaliko wa huo ulimwengu mpya ni lazima uwe na kadi ya mwaliko yaani vazi la harusi ambalo ni damu ya Yesu.

Ukilikubali vazi la Yesu hiyo ndo tiketi ya kuishi naye milele,
Bali wale watakaolikataa vazi ilo watatengwa naye milele na kuishi dunia watakayokuwa wameichagua kwa matendo yao.


Ndg fanya hima kabla ya majira na nyakati kuisha ,ingekuwa heri ukafanya maandalizi ya kunua vazi.
 
Ndugu MsemajiUkweli kupata majibu ya maswali yako ni ngumu sana, sababu ya kwanza ni kuwa huna kumbukumbu yoyote kama ulikuwa sehemu ukajikuta upo dunia katika umbo la kibinadamu bali umepata akili ukajikuta upo hivyo. Pia hayo mambo yote unayo hoji huku ya jua, bali ni baada ya kusimuliwa na hapo ndio ukajenga hayo maswali. Jaribu kufikiria kama ungezaliwa na kuwekwa duniani peke yako pengine usinge kuwa tofauti na wanyama, ungekisia tu hiki kitu kinaweza kunidhuru na kikinidhuru kita tokea nini sana sana maumivu. Ungejua kuwa pia kuna kifo? hatujui, au ukifa hurudi tena? hatujui. Sababu tunao ogapa kifo ni sisi tunao ishi, walio kufa hawajui hilo tena. Na kwa nini tunaogopa? Sababu tunajua ukifa hurudi tena. Nini kinaendelea ukifa, hapa ndio sasa tunapata habari za uwepo wa Mungu. Je tuamini kuwa Mungu yupo? hapo ndipo shida inakuja. Lakini kwa upande wako unaamini yupo, ndio maana unauliza kwa nini hukupata nafasi ya kuchagua uwe katika umbo gani? Nani huyo angekupa nafasi ya kuchagua? Kama yeye alikuchagulia basi anakusudi na wewe? Sawa na rais anapoteua mawaziri sababu hawapi muda wa kuchagua wizara, lakini kwa kuwa wanaamini wameteuliwa na mamlaka iliyo juu yao mara moja wanaukubali uteuzi huo na kuanza kuutumikia.
Mkuu tilburg1
Kwanza nianze na mfano wako kuhusu uteuzi wa mawaziri. Rais ni kweli ana mamlaka au madaraka ya kuteuwa mawaziri lakini hawezi tu kuteuwa na kutangaza bila kuwajulisha. Wanaoteuliwa huwa wanajulishwa kama wanakubali au wanakataa kabla ya majina kutangazwa kwa wanancho wote.

Pili, maadam aliyeniumba alifahamu kuwa ananipa akili za kuweza kupambana na mazingira atakayonipa, nadhani ingekuwa vizuri kama ningeulizwa kama ninapenda niwepo kwenye mazingira hayo. Hii ni haki ya msingi ambayo ukiichunguza utagundua ndiyo ilitakiwa uwe msingi wa uwepo wa binadamu.
 
Naam, huu uwepo upo wapi na kwa ridhaa ya nani kwa manufaa ya nani?

Kama ninakuelewa unasema Mungu ni sheria asilia. Kama nimekosea unirekebishe.

Kwa hiyo hii sheria asilia ipo kwa manufaa ya nani? Kama kwa binadamu, kwa nini binadamu hakushirikishwa katika uwepo/utungo wa hii sheria asilia

Huoni kama binadamu hakutendewa haki katika maamuzi ya uwepo wake?

Kwa nini binadamu analazimishwa katika jambo ambalo hakushirikiswa? Huoni kilichofanyika ni ubabe hasa ikichukuliwa hakushirikiswa hata katika uamuzi wa yeye kuwepo katika mazingira aliyopo au umbo alilopo.

Kwa hiyo unataka kusema, dhumuni la uwepo wa binadamu ni kumwabudu Mungu?[/QUOTE]
Mkuu dhana ya kuhoji kwanini mwanadam hakushirikishwa katika kuumbwa kwake ni sawa jinsi ambavyo vitu(dutu) huungana na kutengeneza kitu kimoja (matter), hivyo kushiriki katika uumbwaji na maamuzi ilihali hajaumbwa haiwezekani, mfano wewe hapo umeundwa na vitu vikuu 3 yaani mwili (body), roho(spirit) na nafsi (soul) bila hivi vyote kamwe hautajitambua wala kuwa na ufaham wowote,

Uamzi wa kuviweka pamoja hivi vyote si shaka kuwa ni wa Mungu (supreme being), hivyo wewe ni mtumwa wake, na huu utumwa huonekana katika mawazo ya dhambi (evil & imperfections) hivyo wewe si mshiriki wa uumbwaji wako bali ni mshiriki wa uwepo wako.
Pia lengo la kuwepo wewe haliko katika uchaguzi wako (out of your choice), hivyo basi haustahili kushiriki katika uumbwaji wako.
 
Mkuu tilburg1
Kwanza nianze na mfano wako kuhusu uteuzi wa mawaziri. Rais ni kweli ana mamlaka au madaraka ya kuteuwa mawaziri lakini hawezi tu kuteuwa na kutangaza bila kuwajulisha. Wanaoteuliwa huwa wanajulishwa kama wanakubali au wanakataa kabla ya majina kutangazwa kwa wanancho wote.

Pili, maadam aliyeniumba alifahamu kuwa ananipa akili za kuweza kupambana na mazingira atakayonipa, nadhani ingekuwa vizuri kama ningeulizwa kama ninapenda niwepo kwenye mazingira hayo. Hii ni haki ya msingi ambayo ukiichunguza utagundua ndiyo ilitakiwa uwe msingi wa uwepo wa binadamu.
Mkuu kiufupi uwepo wako utazame kama accident ( namaanisha hukuwa tayari kuwepo bila uwepo mwingine), uwepo wa Nguvu asilia/Mungu ndio uliweka uwezekano wa wewe kuwepo, hivyo wewe huwezi kushirikishwa kwa maana wewe ni matokeo tu, ni sawa na kuchukua 2+2=4, namba nne haina uhuru katika jumuiko la hizo namba kwani ni matokeo tu, hivyo uwepo wa hizo namba Ndiyo umeweka ulazima wa nne itokee hivyo:-
1. Nne (wewe) haina/huna maamuzi au kushirikishwa katika uwepo wako bali ni matokeo tu.
2. 0=0, maana yake kabla ya kuumbwa wewe haukuwepo, hivyo kushirikisha kisichokuwepo haiwezekani.
 
Huoni kama binadamu hakutendewa haki katika maamuzi ya uwepo wake?

Kwa nini binadamu analazimishwa katika jambo ambalo hakushirikiswa? Huoni kilichofanyika ni ubabe hasa ikichukuliwa hakushirikiswa hata katika uamuzi wa yeye kuwepo katika mazingira aliyopo au umbo alilopo.

Mkuu dhana ya kuhoji kwanini mwanadam hakushirikishwa katika kuumbwa kwake ni sawa jinsi ambavyo vitu(dutu) huungana na kutengeneza kitu kimoja (matter), hivyo kushiriki katika uumbwaji na maamuzi ilihali hajaumbwa haiwezekani, mfano wewe hapo umeundwa na vitu vikuu 3 yaani mwili (body), roho(spirit) na nafsi (soul) bila hivi vyote kamwe hautajitambua wala kuwa na ufaham wowote,

Uamzi wa kuviweka pamoja hivi vyote si shaka kuwa ni wa Mungu (supreme being), hivyo wewe ni mtumwa wake, na huu utumwa huonekana katika mawazo ya dhambi (evil & imperfections) hivyo wewe si mshiriki wa uumbwaji wako bali ni mshiriki wa uwepo wako.
Pia lengo la kuwepo wewe haliko katika uchaguzi wako (out of your choice), hivyo basi haustahili kushiriki katika uumbwaji wako.
 
mwanadamu kumuabudu mungu kuna faida gani kwa mungu..?
nilitaka ku-quote comment za waliosema dhumuni ni kumuabudu Mungu na niwaulize,"kwa nini katuumba ili tumuabudu?" kumuabudu kwetu sisi yeye ana-achieve nini?.
 
kabla ya kuuliza madhumuni ya uwepo wa binadamu,tujiulize kwanza nini
madhumuni na uwepo wa maji,miti na pepo zinazunguka dunia hii pande zote.
Mimi sitaki niwe msemaji wa maji, miti na pepo. Kama vina uwezo wa kuhoji vitahoji kwa sababu siwezi kuingilia viumbe vingine kwa kutumia mtazamo wangu kama binadamu.
 
hili swali halina any logic behind it, ni sawa sawa uulize ni nini madhumuni ya jua.
 
Binadamu wamepewa ufahamu wa hiyari achague zuri au baya ndomana mungu akashusha vitabu vyenye kubainisha baya na zuri. Na baada ya hapo peponi hakuna maombi
 
Kutaka kukupa nafasi ya namna gani uwe ni sawa pia ujiamulie nini umfanyie Mungu au usimfanyie lakini ni lazima akupe fadhira zake kwako.

Ni ngumu sana kama umeamua kujenga nyumba ya chumba 4 jiulize kwanini hukutoa nafasi ya kuwauliza wale wengine wanaokuja kukaa labda wao wangetaka ujenge nyumba ya chumba 2 au 9. Ila kwakuwa ni maamuzi yako basi unafanya ulitakalo maana liko chini ya amri yako.
 
Back
Top Bottom