Nini madhumuni ya uwepo wa binadamu?

ni ibilisi tu ndiye anaehanikiza hisia kwamba mwanadamu hana dhumuni lolote katika dunia hii mawazo hayo ndiyo yanayomtaka mwanadamu ahalifu sheria Tukufu ya Mungu ambayo ndio dhumuni kuu hasa la binadamu hapa katika hili tufe .
 
Mungu ametuumba ili tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho tufike kwake mbinguni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…