Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..'Mwana mke makofi"..nasimuliwagwa tu madam..na.eti mnanunaga kabisaaaa Amani ikitamalaki au ni Tarime tu?Kikua utajua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Usiposimamia nafasi yako umwone mwanamke mkorofi😂😂..'Mwana mke makofi"..nasimuliwagwa tu madam..na.eti mnanunaga kabisaaaa Amani ikitamalaki au ni Tarime tu?
Usiposimamia nafasi yako umwone mwanamke mkorofi😂😂..'Mwana mke makofi"..nasimuliwagwa tu madam..na.eti mnanunaga kabisaaaa Amani ikitamalaki au ni Tarime tu?
Tatizo la vyombo vya ulinzi na hasa Tiss Ni kutojielewa. Hawajui tofauti Kati ya chama,serikali na nchi.Hawajui Kati ya cheo na mtu. Na kwa ujumla hawajui Kati ya maslahi ya mtu, chama, serikali na nchi. Kwa hili la ugonjwa wamejitakia wenyewe, rais kuumwa seriously siyo national security secret.Ila tukiangalia kwa jicho la tatu, ikulu ya Tanzania kwasasa si sehemu salama sana, intelligence ya Tz imeonyesha udhaifu mkubwa sana katika sakata la kuugua kwa aliyekuwa Rais. Nina Wasiwasi ndani ya USALAMA WA TAIFA kuna mapandikizi hatari sana.
Jukumu lake ni moja tu, lileeee, nadhani ushaelewa.Wakuu Kwema?
Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa.
Sasa baada ya kuwa na Rais Mwanamke, nini yatakuwa majukumu ya Mumewe?
Je, naye atakuwa anaandamana na Mkewe (Rais) kila anapoenda?
Mwenye kufahamu hili msaada please.
Pia serikali imupunguzie majukumu Rais ili first gentleman wake afanye majukumu yake ya kawaidaWakuu Kwema?
Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa.
Sasa baada ya kuwa na Rais Mwanamke, nini yatakuwa majukumu ya Mumewe?
Je, naye atakuwa anaandamana na Mkewe (Rais) kila anapoenda?
Mwenye kufahamu hili msaada please.
Wewe unaokota MATAGA unawapa vyeo unategemea nini? si ndio wanaanza kulazimisha mtu kuongezewa miaka madarakani, mtu kapata mshtuko wa moyo kwa kulazimishiwa likazi ligumuTatizo la vyombo vya ulinzi na hasa Tiss Ni kutojielewa. Hawajui tofauti Kati ya chama,serikali na nchi.Hawajui Kati ya cheo na mtu. Na kwa ujumla hawajui Kati ya maslahi ya mtu, chama, serikali na nchi. Kwa hili la ugonjwa wamejitakia wenyewe, rais kuumwa seriously siyo national security secret.
Kupiga miti tu hamna jingine.Wakuu Kwema?
Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa.
Sasa baada ya kuwa na Rais Mwanamke, nini yatakuwa majukumu ya Mumewe?
Je, naye atakuwa anaandamana na Mkewe (Rais) kila anapoenda?
Mwenye kufahamu hili msaada please.
Mambo mengi mkuu yametiliwa maanani..Kwanini hatarishi?
Umeua mkuuKwa kulala na mafaili maaana yake unapata muda mzuri wa kuyatafakari madokezo. Sijui wewe kiupande wako kazi yako, ila hizi kazi za kiserekali fail huwa linakua na madokezo unakua unasoma ushauri uliomo. Kurelax na fail hata mimi napenda, napata muda mzuri najiegama kitandani, naunga kahawa yangu na maziwa usiku sana muda ambao dunia kimyaa ndio naaanza kuyasoma nakuwa nimerelax.
Sasa hapo unapata mawazo mapya unakaa unasoma unasema kwa nini hili limependekezwa hivi?? Kwa nini isiwe hivi asubuhi unavyotoa mafail na comment zako kwa utekelezaj,na wewe unakuwa unayanote yaende yakafanyiwe kazi kwenye ka note book chako. Sasa ole wake agizo liwe halijafanyiwa kazi, naituma timu yangu kupepeleza baadae naletewa ripot, naituma timu ya pili naletewa ripot na kila anayekwamisha nakula vichwa
Nae sasa ni Baba Samia au Baba Ameir?Actually tunahitaji hata kumjua ni nani. Kama vile tunavyowajua Mama Maria Nyerere, Mama Sitti Mwinyi, Mama Anna Mkapa, Mama Salma Kikwete, Mama Janet Magufuli.
Hilo liko wazi kabisa,na ni jambo la kushughulikiwa harakaIla tukiangalia kwa jicho la tatu, ikulu ya Tanzania kwasasa si sehemu salama sana, intelligence ya Tz imeonyesha udhaifu mkubwa sana katika sakata la kuugua kwa aliyekuwa Rais. Nina Wasiwasi ndani ya USALAMA WA TAIFA kuna mapandikizi hatari sana.
😅ewaaaMajukumu ya mume ni kumtunza mke bila kujalisha ana position gani. Baba akiamua leo mtakula makande mtakula tu, hata uwe Rais lazima umtii mumeo.