Nini mamlaka ya Mo Dewji ndani ya Simba?

hivi mmeshajiuliza mamlaka aliyopewa GSM ya kusajili wachezaji na kufukuza makocha, hebu toeni mwiko nyuma mpate akili.
 
hivi mmeshajiuliza mamlaka aliyopewa GSM ya kusajili wachezaji na kufukuza makocha, hebu toeni mwiko nyuma mpate akili.
GSM ni mdau katika biashara na anayo yafanya nje ya mkataba ni kwa mapenzi yake binafsi kwa Yanga.
 
Mtoa maada yuko sahihi, Mo alipaswa kusubiri mkataba uishe kwanza, afu kingine kipindi mkataba wanasaini Simba ilikua na hali mbaya
 
Wew jamaaa unaongea kishabiki Sana,kweli yule aliye leta hoja nishabik wa uto ila mjibu hoja yake n Wal xio ushabik wake..... Mathalan kuna kipindi cha karibun kuliibuka tetes za Chelsea kuudhwa na 1 wa watu walio kuwa wanahitaj kununua alikuwa tajir ambaye ni shabik wa man u, ni kiwa na Maan toka mchakato wa simba uanze ni zaid ya miaka 4 Sasa lkn hakuna maendeleo yanayo letwa kwa wanachama na mashabik wa simba au wa mpira hap nchin kutoka kwa uongoz wa simba ila kwa kuwa sas timu inafany vzr hatuwez kuangalia kasoro zilizopo kwa sas ila linapokuja kutokea huk mbelen tunakuwa tumechelewa
 
Utopolo angaikeni na timu yenu mpaka sasa hivi hamna kocha mkuu, mlianza kupokea timu za nje lakini hamna mluchopata pamoja na tofauti zilizopi Simba lakini sasa hivi tuna mashindano makubwa tunahitaji mshikamano lakini nyie kila mkiamka mnaiwaza simba au mmesahau mlianzisha thread ngapi kabla Simba hajacheza na As Vita au kabla Simba hajacheza na Al haily leo hii mnajifanya malaika kutupa ushauri.
 
Ikitokea MO amefariki ,je huu mchakato unaendelea au ndio basi tena
 
Kwanza mpira wa bongo xio mpenz San kwa sas, Labd dhami nilikuwa kindakinda ila leo hata wachezj 4 siwez taja, iwe simba au yanga, ila jambo nalo muunga mkono mtoa Mada ni kule kuwa na mtu ambaye ananufaika Zaid na simba kuliko simba inavyo faidika na yeye, leo watu wanasema MO kaifanya simba inacheza makundi ila wanasahau simba Aliya fanya hayo miak kumi nyuma tena ikiwa ungaunga mwana kipind cha mwina kaduguda Kam sijakosea (naruhusu kukosolewa)... Ila sas simba bado haina vyanzo vyak kama simba hapo ndo tu nakuja kumsakama MO ambay yy ni manji aliye changamka
 
Anataka kuweka bidhaa yake pale mbele
 
mara ya mwisho simba kuingia makundi kabla ya mwaka juzi na huu chini y aMO ilikuwa 2003 na mwezeweshaji alikuwa huyohuyo MO zaidi ya hapo ni fainali ya CAF 1993 chini ya ucle wake Mo azim dewji na nusu fanali ya club bingwa 1974 ilikuwa chini ya wazawa weusi
 
Kama sio mpenzi wa mpira tuachie sisi tunaojua kuhusu simba na yanga. Simba ni taasisi inayojitegemea wala haiitaji ushauri toka upotolo.
Kama utopolo waliweza kupokea timu pinzani na Simba pamoja na kwamba mafanikio ya Simba kimataifa yanawabeba na wao leo wamepata uchungu gani kuhusu Simba hadi watuanzishie thread.
Kuna mgogoro ulitokea kati ya gsm na baadhi ya wajumbe wa kamati wa utendaji wa upotolo wajiuzulu ulisikia Simba wakiongea popote.
Utopolo wanaishi kwa migogoro na wanatamani na sisi tuwe kama wao.
 
Tatizo aliyeleta hii mada ni utopolo. Na hakuna utopolo anauetaka maendeleo ya mnyama. Ataendelea kupata kiungulia tu. Atulie dawa ifanye kazi. Mo ametoa tu mawazo yake. Amabauo ni ua kweli. Sasa eti anataka sportpesa eti waonewe huruma kisa waliisaidia Simba. Kwenye biashara hakuna huruma. Huruma apeleke kwenye wenye mahitaji maalum.
 
Kama amefanya hivyo huku akiwa si mwenyekiti wa Simba, basi haina madhara yoyote, ni maoni ya mshabiki tu kwa hiyo isikusumbue. Uzi ufungwe
Hapana aisee, tukubali tu kibiashara hapa Mudi ametoa boko.
 
Juzi kwenye mkutano wa Simba wamegoma kabisa kutusomea na kutupatia taarifa ya Fedha kwa kigezo eti tunawahi mechi ya Mpira sijui tulikuwa tunacheza nadhani na Azam.. wakatosomea summary ya jumla ya mapato na matumizi arafu kilichonishangaza wansema eti kwa mara ya kwanza tumetengeneza faida ya milioni 34 huku kati ya mapato yote tuliokusanya eti MO alitoa zaidi ya 2 billion msaada...kazi kweli kweli
 
Utopolo una mandate gani ya kujadili ishu za simba? Unataka kusema kwenu utopoloni ni mcharo?
 
Kumbe baadhi ya wanachama wa mbumbumbu fc Wana akili timamu. Najua wanasubiri wakati sahihi ufike washike nafasi kuonyesha umma wenye akili timamu Bado wapo pale umbumbumbuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…