Nini mamlaka ya Mo Dewji ndani ya Simba?

Yote hii ni ile kunyimwa ule mkopo wa pikipiki ndiyo umeamua kutumika kiboya hivi.
 
Kwanini msijipe homework kidogo?!kuliko kukulupuka na kuandika chochote!! Simbasc ni club ya wanachama,kwa umoja wao kupitia mkutano mkuu,wanachama walikubali kuanza mchakato wa mabadiliko ya katiba kupitia taratibu zote,
Baada ya kuunda rasimu ya katiba,wanachama wote kupitia mkutano mkuu wakaipitisha rasimu ya katiba,ikiwa na mabadiliko,wakaipeleka (serikalini) kwa msajili wa vyama vya michezo,ikapitishwa na kuwa katiba rasmi ya simbasc.hivyo Simba moja kwa moja ikabadilika na kuwa kampuni,ikapata na usajili brella,na kwa mujibu wa katiba iliyopitishwa Simbasc inamtambua mwekezaji na asilimia zake,na pia katiba inatambua kuwepo kwa bodi ya wakurugenzi,na pia inaeleza kutakuwa na secretarieti ya timu ambayo itakuwa inafanya kazi za kila siku za uendeshaji wa timu,ambayo itaongozwa na mtendaji mkuu,ambae atawajibika kwa bodi ya wakurugenzi!!na katiba ya Simbasc inaeleza mwekezaji ndie atakuwa mwenyekiti wa bodi ya timu,kwa mujibu wao walivyo amua.hizi taratibu nyingine sijui FCC ni taratibu tu za serikalini za kutoa miongozo na wala hazina uwezo wowote wa kuzuia maamuzi ya wenye timu yao ambao ndio wanachama.
Hivyo ukimuona MO anazungumza,ujue anazungumza kama mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi,na pia kama mwanachama wa Simbasc, ambae nae ana haki zote kama wanachama wengine.
 
Simba SC ni kama daladala na Mo ndio mmiliki wake. Imeisha hiyo. Mwenye daladala akisema naliuza au sitengenezi, ndiyo imetoka tena.
 
Wewe inaonekana ni mmoja wa wanufaikaji wa uwepo wa MO pale msimbazi, Simba Ina secretariet, bodi ya wakurugenzi n.k nieleze kampuni iyo ya Simba na uyo mwekezaji mbaka Sasa Wana fanya biasharagani, uwekezaji katika iyo biashara inayofanywa ni upi na unathamani gani na Kama FCC si lolote wala chochote katika mabadiliko ya Simba.

Nini kinakwamisha mbaka mwekezaji anasita kuweka mzigo wakati Katiba ya Simba ilisha pitishwa kwa msajili na kampuni imesha sajiliwa brela? Yaani wewe mshauri wa MO unahisi watu wote ni ma Mbumbumbu sio?
 
Ulitaka kuwekeza simba afu MO akakuzuia, au ndo ujuaji wa wa kiboya tu?
 
Umeandika utopolo kabisa MO ni mdhamini,lakini pia ni mwenyekiti ndani ya bodi ya wadhamini au wawekezaji

Kama vipi nyinyi komaeni na sporti pesa tu Simba imekuwa next level.

Msifosi tufanane
 
Ulitaka kuwekeza simba afu MO akakuzuia, au ndo ujuaji wa wa kiboya tu?
Wewe uoni Kama Sports pesa wanafukuzwa, MO hataki ushindani. yeye ndie mkurgenzi wa bodi na yeye ndie anaye miliki biashara zote zinazo husiana na timu.
 
Simba SC ni kama daladala na Mo ndio mmiliki wake. Imeisha hiyo. Mwenye daladala akisema naliuza au sitengenezi, ndiyo imetoka tena.
Hivi huko Utopolo kuna mwenye akili timamu kweli? Mbona mpo kinyani nyani hivi?
 
Hivi GSM alishaweka 20B ?
 
Ndio shida ya kuwaongoza mbumbumbu wao wanaona sawa ili mradi ushindi unapatikana yule mwenyekiti ni picha tu pale we unafikiri kwanini mwenyekiti wa zamani alifukuzwa na Mo haina shaka Mo atatuchezea mpaka tukome
 
Ndio shida ya kuwaongoza mbumbumbu wao wanaona sawa ili mradi ushindi unapatikana yule mwenyekiti ni picha tu pale we unafikiri kwanini mwenyekiti wa zamani alifukuzwa na Mo haina shaka Mo atatuchezea mpaka tukome
Hivi mkishaandika mnapitia tena maandishi yenu, nyie wakati manji kajiuzulu si mligoma kufanya uchaguzi kila siku mnadanganyana anarudi.
Kwa sababu mwakalebela keshawajua ndio maana anawadanganya kamfungulia kesi Morison cas na nyie.mnabaki mkisubiria
 
Mkuu hata kama hujui kusoma inamaana picha huoni? Hiyo sportspesa hata yanga wanayo jiulize yanga wamefikia wapi kimafanikio, nakuhakikishia bila Mo simba isingeachieve kile ilichonacho sasa
 
Wewe uoni Kama Sports pesa wanafukuzwa, MO hataki ushindani. yeye ndie mkurgenzi wa bodi na yeye ndie anaye miliki biashara zote zinazo husiana na timu.
Sportpesa wafike dau tu, kama watataka kutulipa pesa sawa na wanayowalipa Utopolo,bora waende tu.
 
Yaani huko Utopolo yamejaa mazezeta tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…