Kufuatia suala la uzazi wa mpango, sasa hivi kuna njia ya wanaume nao kupanga uzazi kwa kufunga kizazi na kuto kuwa na uwezo wa kumpa ujauzito mwanamke. Unakuwa unaweza kufanya mapenzi tu pasipo uwezo wa kutia ujauzito.
Mimi kwa upande wangu sikubaliani na hicho kitu, labda kutumia njia nyingine za kupanga uzazi Na c kufunga kabisa.
Nini maoni yako?
Mimi kwa upande wangu sikubaliani na hicho kitu, labda kutumia njia nyingine za kupanga uzazi Na c kufunga kabisa.
Nini maoni yako?