Nini maoni yako kuhusu goli walilofungwa Yanga vs As Bamako?

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Yanga hadi dakika ya 90 na sekunde kadhaa wakulikuwa wanaongoza kwa goli 1. Kona waliyopata AS Bamako ndo ikatia mchanga kwenye pilau.

Je, unadhani goli hili lilitokana na uzembe,wachezaji kudhani tayari kazi imeisha,uchovu kwa wachezaji au afisiwe mfungaji? Mi binafsi naona kulikuwa na "poor marking" wakati kona inapigwa.

Hapo chini nimeweka picha kuonyesha hatua kwa hatua jinsi goli lilivyofungwa.

Karibuni kwa mjadala.

 

Attachments

  • 20230227_061146.jpg
    46.6 KB · Views: 4
  • 20230227_060722.jpg
    51.1 KB · Views: 4
  • 20230227_061326.jpg
    48 KB · Views: 3
  • 20230227_061455.jpg
    61.2 KB · Views: 4
Poor marking.
 
AKILI ZAO FUPI SANA.

Simba nae Alikuwa hivyo hivyo lakini akakua.

Baada ya kufanya Man to man Making wao wanaangalia mpira.

Akili za kitopolo kabisa yani
 
Kwa kweli mm sijui vzr sheria za mpira ila kwa lile goli la jana hapana Kwa kweli n kama kuna kitu kilikuwa hakipo sawa mpaka muda mpira unapigwa , ninacho jua n Yanga tuna goli 1 hao Bamako wana 0.
 
Kwa kweli mm sijui vzr sheria za mpira ila kwa lile goli la jana hapana Kwa kweli n kama kuna kitu kilikuwa hakipo sawa mpaka muda mpira unapigwa , ninacho jua n Yanga tuna goli 1 hao Bamako wana 0.
Hongera
 
Nabi kafeli kwenye kona. Jamaa wanaruka free eda! Hata uarabuni monastrine yanga alifungwa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…