Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hapo Sasa watakuwa wanawapunja walipa viingilio kwenye mpiraMmesikia FA itaanza kuchezwa dakika 60 badala ya 90?
hata yale ya offside piaMagoli ya mkono yanauma Bora teknolojia imekuja kukata mzizi wa fitina
Kasi ya mchezo itaongezeka.Hapo Sasa watakuwa wanawapunja walipa viingilio kwenye mpira
Umesema kweli.Raha ya mpira ni pamoja na matukio yenye utata.mpira wa miguu ni mchezo wenye amsha amsha na unapendeza kuwa ivo so hio tekn inhrb mvuto wa football
Ukishafunga we Shangilia kwa juhudi zote,ila kama la Magumashi ndo inabidi uwe Na mashaka mashakaUnafunga goli, unasubiri maamuzi kwanza ndo unashangilia!