Nini msimamo wako kama mtanzania. Serikali,mbili au tatu

Nini msimamo wako kama mtanzania. Serikali,mbili au tatu

kama kweli tunataka muungano usio na kero ni serikali moja.muungano mwingine ni uswahili tu,tunajdhalilisha bure.
 
Kuoa:
Utafute m/ke.
Akukubali.
Umtolee mahari then umuoe!
...
Kujenga nyumba:
Uwe na kiwanja.
Uwe na hela ya kununulia vifaa, ya usafiri na hela ya fundi!
Then unajenga!
...
Nipe mantiki ya maswali yako.

mantiki ya maswali yangu ni kwa vile watu wanafikiri kuna jipya la kiuchumi litatokea kama tukiwa na serikali 2 au 3 kumbe ni vile vile tu.ukitaka maendelea fanya kazi jitume ,zalisha bizaa uza,au toa huduma, serikali tatu au mbili zitaongeza au kupunguza ajira ziszozidi 100 tu.
 
sasa huu utakuwa muungano gani? nadhani hata nchi za wenzetu watahoji uwezo wa akili zetu tutakapokuwa tukijitambulisha kama united republic of tanzania. watahoja what is united kama kila nchi iko kivyake?

Hahahahahaaa!
Ivi kwa nini muungano wa Nchi za America ya juu wanajiita United States of America?
...
Ivi unajua kuna aina ngapi za Muungano?
 
Hahahahahaaa!
Ivi kwa nini muungano wa Nchi za America ya juu wanajiita United States of America?
...
Ivi unajua kuna aina ngapi za Muungano?

united states, wameunganisha na kufanya nchi moja na kuacha serikali za majimbo kwa ajili ya maendeleo ya jimbo na serikali ya majimbo hazitambuliki kimataifa wala kuwa na marais,n kama local govement tz,tuna serikali za wlaya kwa maendeleo ya milaya -tamisemi,lakini hazijiti nchi wala kutambulika hivyo nje na ndani. ndio tulichotaka na znz iwe hivyo.
 
mantiki ya maswali yangu ni kwa vile watu wanafikiri kuna jipya la kiuchumi litatokea kama tukiwa na serikali 2 au 3 kumbe ni vile vile tu.ukitaka maendelea fanya kazi jitume ,zalisha bizaa uza,au toa huduma, serikali tatu au mbili zitaongeza au kupunguza ajira ziszozidi 100 tu.

Kwaiyo wewe unahisi kukiwa na serikali 2, or 3 hakutakuwa na mabadiliko yoyote! Si ndio?
...
Kukiwa na serikali 3 kutakua na ushindani wa kimaendeleo btn Z,bar and Tg! Hiyo ni mzuri kwa maendeleo ya nchi!
...
Ndani ya serikali mbili hilo haliwezekani!
Kwa mfano Zanzibar inakopa or inagaiwa hela kutoka nchi jirani, hiyo hela inapigwa pasu kwanza na ukizingatia Zanzibar haina Benki inayotambulika kimataifa, hela yoyote ni kutoka nje kabla ya kufika Z,bar ni lazima ipitie BOT!
...
Wakiweka serikali tatu litatatulika hili na ushindani wa kimaendeleo utakuwepo!
Kilichopo sasa ivi ni WIZI MTUPU!
 
sasa sisi tunaungana alafu tuna serikali 2 ,na znz katiba inajitambua kama nchi kamili na rais wa znz na serikali yake wanataka kutambulika kimataifa na rais wa muungano kule znz hata power,what kind of union is this.united republic means united of two or more to be single nation that is what republic mean.
 
Kwaiyo wewe unahisi kukiwa na serikali 2, or 3 hakutakuwa na mabadiliko yoyote! Si ndio?
...
Kukiwa na serikali 3 kutakua na ushindani wa kimaendeleo btn Z,bar and Tg! Hiyo ni mzuri kwa maendeleo ya nchi!
...
Ndani ya serikali mbili hilo haliwezekani!
Kwa mfano Zanzibar inakopa or inagaiwa hela kutoka nchi jirani, hiyo hela inapigwa pasu kwanza na ukizingatia Zanzibar haina Benki inayotambulika kimataifa, hela yoyote ni kutoka nje kabla ya kufika Z,bar ni lazima ipitie BOT!
...
Wakiweka serikali tatu litatatulika hili na ushindani wa kimaendeleo utakuwepo!
Kilichopo sasa ivi ni WIZI MTUPU!

usidanganyie hicho kitu hakipo ni propaganda tu, mimi nimeishi tanganyika na zanzibar naelewa yote hayo wala hakutakuwa na ushindani unaofikiri wewe maana hakuna cha kushindaniwa.
pili kupitisha pesa bot hakuna effect yeyote hata kutuma pesa benki moja kwenda nyingine pesa hupita bot hiyo sio kwamba pesa inakatwa ni kuwasaidia wao kujua tu m kuzunguko, ziko pesa nyingi zinaingi kwa smz kutoka ulaya na nchi za kiarabu haziguswi hata za jamuhuri hupita bot, sasa kutokana na kupita huko ndio bot huweza kujua mzunguko wa pesa eneo fulani na gdp na mambo kama hayo.kwa hiyo bot kutolewa znz au kubaki haina signifikant beneft kwa tanganyika wala znz labda ni vi benk charges tu.
 
ulaya wako na jumuiya wala hawajawa nchi moja, wanatumia pesa moja na benki kuu ni moja mbona hawalilii benki kila nchi?
 
Ache uhuni, eti mbili au tatu, CDM kwa vile mlishagundua kwamba Zanzibar hamkubaliki ndiyo maana mnakomaa na Serikali tatu?
 
united states, wameunganisha na kufanya nchi moja na kuacha serikali za majimbo kwa ajili ya maendeleo ya jimbo na serikali ya majimbo hazitambuliki kimataifa wala kuwa na marais,n kama local govement tz,tuna serikali za wlaya kwa maendeleo ya milaya -tamisemi,lakini hazijiti nchi wala kutambulika hivyo nje na ndani. ndio tulichotaka na znz iwe hivyo.

Yap! Kwa ufafanuzi tu U.S.A ni federal state!
Kwa vile kuna aina mbili za muungano, Unitary (eg UK) na Federal (eg U.S.A na Nigeria) labda tu ujiulize huu Muungano wa Tz wa sasa unaingia wapi kati ya hizo mbili?
...
Serikali tatu itakua ni federal, ukumbuke hata huko U.S.A hawakuungana kwa vitu vyote! Na ushindani wa kimaendeleo upo sana ktk vile vijistates ambapo raisi wake wanamuita gavana! Ukumbuke hawa wanakua tu magavana ktk bunge kuu (cöngres) wakiwa ktk mabunge yao wanastand kama maraisi na wanapawa zote dhidi ya maeneo yao!
 
kama hicho hakiwezekani kuwa na nchi moja tuishi kwa umoja bila kuitana mtanganyika na huyu mznz basi hakuna haja ya muungano huo wa serikali mbili au tatu ni kujiaibisha bure, hata wenzetu tu majirani kenya wanatucheka kwa aina zetu hizi za muungano wa kuchechemea chechema alafu tunajisifu.huu wa mbili au tatu sio muungano. bora ufe tukutane eac kama hatuwezi futa tofauti zetu na kuwa nchi moja. yote anayofanya mtanganyika znz na anayofanya mznz tanganyika wataendelea kufanya tu kwa mwamvuli wa eac.
 
Yap! Kwa ufafanuzi tu U.S.A ni federal state!
Kwa vile kuna aina mbili za muungano, Unitary (eg UK) na Federal (eg U.S.A na Nigeria) labda tu ujiulize huu Muungano wa Tz wa sasa unaingia wapi kati ya hizo mbili?
...
Serikali tatu itakua ni federal, ukumbuke hata huko U.S.A hawakuungana kwa vitu vyote! Na ushindani wa kimaendeleo upo sana ktk vile vijistates ambapo raisi wake wanamuita gavana! Ukumbuke hawa wanakua tu magavana ktk bunge kuu (cöngres) wakiwa ktk mabunge yao wanastand kama maraisi na wanapawa zote dhidi ya maeneo yao!

power waliyonayo ni sawa kama wabunge katika majimbo yao maana ndio wameaminiwa na wananchi. ila central goverment usa ina uwezo wa kuintervien chochote katika jimbo kwa faida za usa.hivyo power yao ni kama mkuu wa mkoa ndiye mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa husika lakini serikali kuu inauwezo wa kutoa order popote na itakavyo.
 
kama kweli tunataka muungano usio na kero ni serikali moja.muungano mwingine ni uswahili tu,tunajdhalilisha bure.

Mkuu hili wazo nalipenda sana! Ila haliwezekani, wazanzibar wamemezeshwa sumu na Mizengo pinda ndie alieharibu kila kitu!
 
mashaxino hakutakuwa na ushindani wowote kimaendeleo maana mode of production kati ya zanzibar na tanganyika ni tofauti kabisa.
zanzibar wanalima karafuu na ,utalii na uvuvi, na bandari. sasa huko tanganyika bandari iko kubwa mno,utalii wa kilimanjaro pekee umeshavuka wa znz achana na mambuga mengine yote,uvuvi nao mkubwa kwanzia tanga mpaka mtwara.

sasa kwenye bandari ni kuwa tu znz soko lake ambalo ni tanganyika linaweza pungua kama serikali ya tanganyika itafanya kodi moja ya bizaa sawa na smz na huko haitakuwa tena ushindani na znz bali kukomeshana.
 
Last edited by a moderator:
usidanganyie hicho kitu hakipo ni propaganda tu, mimi nimeishi tanganyika na zanzibar naelewa yote hayo wala hakutakuwa na ushindani unaofikiri wewe maana hakuna cha kushindaniwa.
pili kupitisha pesa bot hakuna effect yeyote hata kutuma pesa benki moja kwenda nyingine pesa hupita bot hiyo sio kwamba pesa inakatwa ni kuwasaidia wao kujua tu m kuzunguko, ziko pesa nyingi zinaingi kwa smz kutoka ulaya na nchi za kiarabu haziguswi hata za jamuhuri hupita bot, sasa kutokana na kupita huko ndio bot huweza kujua mzunguko wa pesa eneo fulani na gdp na mambo kama hayo.kwa hiyo bot kutolewa znz au kubaki haina signifikant beneft kwa tanganyika wala znz labda ni vi benk charges tu.

Mkuu kwa hili jaribu kufuatilia!
Ivi wewe unahisi Zanzibar kuja na hoja ya kutaka hela yao nje ya muungano imetokana na nini?
 
mashaxino hakutakuwa na ushindani wowote kimaendeleo maana mode of production kati ya zanzibar na tanganyika ni tofauti kabisa.
zanzibar wanalima karafuu na ,utalii na uvuvi, na bandari. sasa huko tanganyika bandari iko kubwa mno,utalii wa kilimanjaro pekee umeshavuka wa znz achana na mambuga mengine yote,uvuvi nao mkubwa kwanzia tanga mpaka mtwara.

sasa kwenye bandari ni kuwa tu znz soko lake ambalo ni tanganyika linaweza pungua kama serikali ya tanganyika itafanya kodi moja ya bizaa sawa na smz na huko haitakuwa tena ushindani na znz bali kukomeshana.

Mkuu naongelea ushindano wa kimaendeleo kwa mfano miundo mbinu, huduma za kijamii na ajira! Ukizingatia Zanzibar itakuwa huru kuchimba mafuta! Na sio ushindani wa kibiashara kutokana na hizo sababu ulizoziweka!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwa hili jaribu kufuatilia!
Ivi wewe unahisi Zanzibar kuja na hoja ya kutaka hela yao nje ya muungano imetokana na nini?

zanzibar hiyo ni hoja ya cuf, na wanachotaka wao ni kuwa sio lazima bot ijuwe kila hela inayoingia znz hilo ndio dhumuni lao.si unajua mwarabu anaingiza hela sana pale kisiwani, kwa data za bot zanzbar ina uchumi bora kuliko tanganyika sasa wanaona bot ikiendelea kujua sio vizuri.hilo ndio linawatatiza. eac kesho kutwa tukiwa na sarafu moja tutakuwa na benki moja ya kumonitor sarafu hiyo sasa hiyo haina effect zaidi ya kujua mzunguko wa pesa kwa jumuiya na maendeleo yanayoatikana
 
Mkuu naongelea ushindano wa kimaendeleo kwa mfano miundo mbinu, huduma za kijamii na ajira! Ukizingatia Zanzibar itakuwa huru kuchimba mafuta! Na sio ushindani wa kibiashara kutokana na hizo sababu ulizoziweka!

kuchimba mafuta ni suala kama kuchimba madini ,mwekezaji atakuja na kampuni yake na wataalam wake kuchimba na kuajiri wa znz kama 50 au 100 kwenye masuala ya usafi wqa ofisi na udereva kidogo labda na uhasibu na usekretari sasa kwa mwananchi wa chini n jambo dogo hilo serikali itakuwa ikipokea kodi na ajira hiyo haiwezi kuonekana kama mkombozi maana ni watu wachache mno. tanganyika tuna mamia ya migodi inachimbwa,tunachimba sasa gesi na umeme upepo kule singida je ajira kwa watanganyika zimeongezeka? mtanz wa kawaida aliyeko kijijini tanga anafaidi vipi na hayo machimbo na ma gesi?labda tu ni panadol anayopata kama ataenda zahanati nayo hiyo panadol zahanati zingine hakuna
 
ninanchomaanisha ni kuwa serikali zetu bado ni tegemezi sana na zina madeni makubwa ni tofauti za za arabuni, hivyo kulipa madeni alafu kuweza kujiendesha bado gesi na mafuta haviwezi maliza tatizo.
 
Back
Top Bottom