Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 879
- 491
Mimi naamini katika serikali moja kama siyo kila mtu ajue nyumba yake yani tuvunje muungano kama ilivyo kwao Wanzanzibar na hakuna kuomba uraia wanzibara kwao na wanzanzibari kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katina ndo kifaaa gani mkuuTunachotaka watanzania ni 😡Katina mpya na siyo serikali mpya sasa nashanga hili la serikali ya tatu imefuata nini
Nimi nampongeza sama JK lea hotuba yake ya karne ametueleza hasara za serili tátu na faida za serikali mbili. Kwamba mbili changamoto zake zinazungumzika na gharama zake ní nafuu sana ukilinganisha na serikali tátu.
[emoji654]
[emoji654] Bora nini kati ya serikari mbili au serikali tatu?? Uchambuzi naomba ubase kwenye hoja za mifano faida na hasara na si ushabiki wa vyama
[emoji841] NB tumia uzi huu kutengeneza mitazamo chanya katika watu.
Points zako ni zipiBora serikali mbili, ya Tanganyika na ya Zanzibar.
Hatari kwa afya ila Mi nataka elimu bhana potelea mbaliUtaitwa mchochezii!!! Hayaa [emoji16]