Nini msingi wa Mahabusu kujisaidia kwenye ndoo?

Nini msingi wa Mahabusu kujisaidia kwenye ndoo?

kuhusu hali ya baadhi ya magereza na baadhi ya vituo vya polisi, ambavyo mahabusu na wafungwa wamekuwa wakijisaidia kwenye ndoo badala ya vyoo rasmi.
-
“Huu utaratibu faida yake ni nini? Au ni sehemu ya adhabu kwa wafungwa? Kuna kiongozi mmoja aliwahi kuzungumzia suala hili mwaka jana akisema jambo hilo lifanyiwe kazi, si sahihi watu kujisaidia kwenye ndoo. Naomba nisaidiwe msingi wa watu kujisaidia kwenye ndoo ni nini? Yaani ilikuwaje ikapangwa hivyo?”
Ujui msingi? Msingi ni CCM ni mafiii💩💩💩💩... kipindupindu akitambui mipaka ya gereza wala magonjwa haya tambui bunduki na kuta za jela .....hivyo ni upumbavu kufanya uchafu tukidhani ni hekima ya iwapasayo wafungwa ....usafi katika nchi ni kitu no 1 kwa taifa lisilo ongozwa na wapumbavu ndiyo maana JPM alikwenda kutoa somo la kielelezo la kufanya usafi mitaroni ...kama ni adhabu kwa wafungwa zipo adhabu nyingi na kali zinazo weza kufanyika nje ya UCHAFU WA MIKOJO NA MAVIII kwenye vituo vya polisi na magereza ...
 
Sijui kwanini wabunge huwa hawapigii kelele mambo kama haya yanayomgusa kila Mtanzania wa chini. Hii pia ni kete nzuri mno kwa wapinzani ila hawaitumii vizuri. Sijajua kwanini.
Wao kazi yao nikutaka mitano tena mambo ya ndoo wanaona hayawahusu
 
Wanamwagia kwenye bustani za mboga Kila waamkapo asubuhi ...sijasimuliwa nimeona coz nimeishi mazingira karibu nao
Bangi wanavuta kwa pamoja,I mean askari na wafungwa... walikuwa wananiomba karatasi za kusokotea
Uongo tu
 
Kidogo unipe ban....yaani ilibaki kidogo sana....thanks nimeweza kukontroo hisia zangu,...watu tumekunya kwenye ndoo afu unaleta ukenge wako hapa....laana sumaka☹️☹️☹️
Watu hayawajawafika au wanajibu kisiasa
 
Sijui kwanini wabunge huwa hawapigii kelele mambo kama haya yanayomgusa kila Mtanzania wa chini. Hii pia ni kete nzuri mno kwa wapinzani ila hawaitumii vizuri. Sijajua kwanini.
Mkuu, wanasiasa wengi wako kwa ajili ya matumbo yao. Na mbaya zaidi huko jela na mahabusu siyo sehemu yao, yaani, hawafungwi mara kwa mara, na wakifungwa wanawekwa sehemu maalum. Hata yule kalasinga wa Magufuli alikuwa sehemu maalum, hivyo hata matajiri huwekwa huko. Kwa hiyo unaweza kusema huku kwenye ndoo za kunywea ni kwa walalahoi.
 
1740808539576.png

hiyo hapo juu ni mahabusu Norway.

Ufukara, roho mbaya na ufisadi wa kiafrika ndio unafanya mahabusu wanyee ndoo.
 
Mkuu, wanasiasa wengi wako kwa ajili ya matumbo yao. Na mbaya zaidi huko jela na mahabusu siyo sehemu yao, yaani, hawafungwi mara kwa mara, na wakifungwa wanawekwa sehemu maalum. Hata yule kalasinga wa Magufuli alikuwa sehemu maalum, hivyo hata matajiri huwekwa huko. Kwa hiyo unaweza kusema huku kwenye ndoo za kunywea ni kwa walalahoi.
Inasikitisha sana mkuu.
 
Huo si ustaarabu na ni hatari kwa afya za watu mahabusu kujisaidia kwenye ndoo. Ni bora kila kituo cha polisi kinachoshikila watu kwa tuhuma kiwe na choo safi humo ndani kwa ajili ya mahabusu. Tena waweke na vitanda vyenye neti kuzuia mbu, utu na haki za binadamu zifuatwe
Mi nilishawahi kukaa mahabusu Mbeya pale central mjini.
Kuna choo safi na maji 24hrs. Sijui kwingine.
 
Sijui kwanini wabunge huwa hawapigii kelele mambo kama haya yanayomgusa kila Mtanzania wa chini. Hii pia ni kete nzuri mno kwa wapinzani ila hawaitumii vizuri. Sijajua kwanini.
Wewe mbona haujawahi kuliongelea mpaka amelileta mwenzako naye pengine ameenda huko na kuona hali halisi au kaadithiwa na jamaa yake.
 
Mahabusu/jela inatakiwa kuwa ya kifahari, pazuri, milo mizuri japo hakuna uhuru
 
Kidogo unipe ban....yaani ilibaki kidogo sana....thanks nimeweza kukontroo hisia zangu,...watu tumekunya kwenye ndoo afu unaleta ukenge wako hapa....laana sumaka☹️☹️☹️
Watoto wa mama wanajua mahabusu nikama shule ya msingi.
 
Wewe mbona haujawahi kuliongelea mpaka amelileta mwenzako naye pengine ameenda huko na kuona hali halisi au kaadithiwa na jamaa yake.
Think before you speak boss.
 
Niliona kituo kimoja cha polisi mahabusu ana pita na ndoo ya kinyesi akisindikizwa, askari aliye kaunta anaziba pua. Sasa unajiuliza miaka na miaka mtindo ndio huohuo. Tunatumia sawasawa akili tulizopewa na Mwenyezi Mungu?
 
Sidhani kama vituo hivyo Bado vipo zilikuwa ni aina ya adhabu ili ukitoka ukifikilia ndoo hata ukipigwa kofi unamgeuzia na la pili kabisa
 
Kidogo unipe ban....yaani ilibaki kidogo sana....thanks nimeweza kukontroo hisia zangu,...watu tumekunya kwenye ndoo afu unaleta ukenge wako hapa....laana sumaka☹️☹️☹️
Ebu niambie ukiwa kama muhalifu mzoefu, mahabusu ipi yenye watu wanakunya kwa ndoo?
 
Back
Top Bottom