Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Kurudi Tanzania inategemea umejiandaa vipi. Kama wewe ni mtoto wa kigogo, kuna opportunities nyingi tu na nzuri ambazo unaweza kuzipata kutokana na connections, kuna ujanja mwingi tu wa kuwakamua watanzania na ukawa na good life. Lakini kama wewe ni mtoto wa walala hoi na umesoma kwa jasho bila kulipiwa kwa hela za ufisadi, na kama huna connections na huko uliko una kibarua kizuri au hata kama sio kizuri ila kinakufanya uishi ni vyema ukabaki huko.
Huku uhalifu, kunyanyaswa, kupuuzwa, ufisadi, uonevu bado vipo na vinaendelea. Ukija tu kama ukija na kitu kwanza unaanza matatizo airport then yataendelea mpaka utajuta. Serikali za wenzetu zinajali watu bila kujali wao ni wageni au sio wageni, bila kujali wao ni wasomi au sio wasomi, maskini au matajiri una feel kabisa human dignity yako. Ukija huku ovyo utajuta sana na utatamani ungekuwa mbwa ughaibuni kuliko kuwa binadamu hapa. Haya ni maoni yangu tu, yanaweza yakawa na utata kwa wengine hasa wanaonufaika na nchi lakini kuna ukweli mwingi kwa niliyosema. Kama uko nje na unaendelea vizuri kaa huko huko, kama uko huko uko ovyo huku ni nyumbani rudi tu, lakini be ready.
Huku uhalifu, kunyanyaswa, kupuuzwa, ufisadi, uonevu bado vipo na vinaendelea. Ukija tu kama ukija na kitu kwanza unaanza matatizo airport then yataendelea mpaka utajuta. Serikali za wenzetu zinajali watu bila kujali wao ni wageni au sio wageni, bila kujali wao ni wasomi au sio wasomi, maskini au matajiri una feel kabisa human dignity yako. Ukija huku ovyo utajuta sana na utatamani ungekuwa mbwa ughaibuni kuliko kuwa binadamu hapa. Haya ni maoni yangu tu, yanaweza yakawa na utata kwa wengine hasa wanaonufaika na nchi lakini kuna ukweli mwingi kwa niliyosema. Kama uko nje na unaendelea vizuri kaa huko huko, kama uko huko uko ovyo huku ni nyumbani rudi tu, lakini be ready.