Nini mtazamo wako juu ya kauli ya Ibrahim Traoré, Rais wa Burkina Faso?

Nini mtazamo wako juu ya kauli ya Ibrahim Traoré, Rais wa Burkina Faso?

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Wanasubiri tufungue accounts za benki kwao (Ulaya) ili siku moja watwambie fanyeni hiki, fanyeni kile, vinginevyo tunawafungia. Sisi hatujali… Hatuna accounts huko na hatuhitaji kuwa na accounts… Hatuna chochote huko na haitokaa itokee tukamiliki chochote huko.

Kila tunachokifanya ni kwa ajili ya Burkina Faso. Sisi hatuhitaji hata kutoka nje ya Burkina Faso yetu. Tuna amani hapa… Tukihitaji kwenda kutalii nje ya nchi, tutakwenda Bamako (Mali), Niamey (Niger) au miji mingine… Hatuna sababu ya kwenda huko kwao… Tupo vizuri hapa kwetu.

Kuhusu uoga, hatuna uoga… Tunafahamu athari zinazotuzunguka… Tumeamua kulitumikia taifa letu, tume-sacrifice maisha yetu kwa taifa hili Kwa nini tuwe waoga? Tumeweka kando ujana wetu, kwa lengo la kulitumikia taifa, kwa hiyo hatuna uoga wowote, ondoeni shaka!… Uoga sifuri.
 
Huyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.

He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemjaa
 
Huyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.

He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemjaa
Naona Diplomasia ya Burkina Faso ikianguka mbaya zaidi watakaoteseka sana siyo yeye bali Vizazi na Vizazi.
 
Huyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.

He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemjaa
Tuoneshe source ya report hiyo mkuu ya kuongezeka kwa rushwa.
 
Huyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.

He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemja
Unajua jamaa amekuzidi maono kwa mbali sana
 
Tuoneshe source ya report hiyo mkuu ya kuongezeka kwa rushwa.
Consequently, corruption is now centre-stage as an issue for debate in Burkina Faso, and Sadou described how corruption has become endemic in various positions, whether in the command chain, budget management and even in some cases with funders.

Source: Millions of dollars missing - ‘Our auditors need autonomy’ - solutions to stem the corruption fuelling Sahel insecurity - Transparency International Defence & Security
 
Burkina Faso haitopata unafuu wa aina yeyote kwa kutawaliwa kijeshi hasa mtawala mwenyewe akiwa huyu Traore mwenye utoto na anayeamini nchi inafanikiwa kwa kujifungia na kujitenga na ulimwengu.
Hayo maneno kayasema wapi kama hujitungii tu stori za kufurahisha kichwa chako! Wewe umeweka tafsiri yako ambayo ni potofu.
 
Huyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.

He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemjaa
Arudishe Utawala wa Kiraia.
 
Hayo maneno yananikumbusha shujaa mwingine aliyewahi kutokea Africa.
Shujaa yupi? Yule aliyemuachia Vice president wa Acacia na kumpa ubunge ilihali alituaminisha wametusababishia hasara ya Trillion 300?

Hakuna mnafiki kama yule shujaa feki, hata aliwahi waambia watu wamtegemee Mungu sio dawa za wazungu ilihali yeye alikua anatumia pacemaker ya mzungu kwa ajili ya kusukuma moyo wake!!
 
Shida ni Moja tu, hao mahasimu watawatumia weusi wenzake kupambana nae ndani na nje ya nchi yake.

Hii ni kauli yake binafsi lakini sio kauli ya taifa, wapo watakaotaka maslahi yao binafsi kuliko ya taifa. Hao ndio watakaomkwamisha kutimiza ndoto zake
 
Wakati dunia inapambana kuwa interconnected kuna wajinga kama huyu rais anawaza isolation. Kwanza apambane na rushwa na ufisadi uliokithiri jeshini. Huyu sio muda atapinduliwa pia maana sifa zilikua kibao wakati output ni zero.
Huyo Kiongozi nyinyi ndio mnaweka 'interpretation' ya maneno yake mnayotaka.
Huyu alikuwa Urusi siku siyo nyingi, nadhani mwaka huu huu kwenye Forum ya Putin.

Mnachotafsiri ni huko kujiondoa kwenye hao wanaoweka vikwazo hata mashoga wao wakikataliwa, kama alivyowekewa Zimbabwe hadi leo. Hao wakubwa wana 'values' zao wanazotaka ku-'impose' kwa nchi zingine.

Sijui ni dunia gani unayoizungumzia ya "interconnection"? kwani kuwa interconnected ni lazima kukubaliana na masharti ya hao mnaodhani watatuletea maendeleo?
Mbona dunia sasa inakwenda kivingine, na wao wanatafuta njia ya ku-rekebisha ujinga wao?
 
Back
Top Bottom