mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Taarifa ya rushwa unaipata kutoka kwa wakoloni,(western media), hahaha,kalaghabahoHuyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.
He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemjaa
Taarifa anayoitoa wakusudiwa ni hao wakoloni,(ufaransa),kwa kutuliaAnachonishangaza anatumia lugha ya Kifaransa kuwasiliana na hadhira yake, kama kweli amejinasua na makucha ya mabeberu kwanini asizungumze kwa Kiburkinabe?
kwa sababu tu hawakumbatii wazungu ambao kwako wewe ni Mungu wako?Naona Diplomasia ya Burkina Faso ikianguka mbaya zaidi watakaoteseka sana siyo yeye bali Vizazi na Vizazi.
MandelaKama kauli yake imetoka moyoni na sio kututia Moyo Wafrika basi ni jasiri kama akina Nkrumah na Mandela hizi ndizo zilikuwa sera zao kuwa Wafrika ifike siku moja tujitawala na Kujiongoza kwa kila kitu.
Mie binafsi namuunga mkono
Mandela mtoe kwenye hili kundi .. at last he dropped the struggle, surrendered and used by white monopoly.Kama kauli yake imetoka moyoni na sio kututia Moyo Wafrika basi ni jasiri kama akina Nkrumah na Mandela hizi ndizo zilikuwa sera zao kuwa Wafrika ifike siku moja tujitawala na Kujiongoza kwa kila kitu.
Mie binafsi namuunga mkono
Huku kwenue mna utawala wa kirai mbona kuna matatizo chunhu nzima?;Arudishe Utawala wa Kiraia.
kama huu ndio mtazamo wa expert member kazi ipo .. Una maono hafifu mkuu katika siasa za Africa na Pan AfricanismHuyu naye hamna kitu, mbona anarudia ya dikteta mwenzie. Kwanza kaongeza miaka 5 ya utawala ambao hautambuliki kikatiba, na rushwa ndio imeongezeka maana hawawajibiki kwa yoyote, sio bunge wala mahakama.
He'll be worst, na nabashiri hapa atapinduliwa kabla ya hiyo miaka 5 aliyojipa. Kiburi cha madaraka kimemjaa
Chura wa Tanzania anasemaje?wanasubiri tufungue accounts za benki kwao (Ulaya) ili siku moja watwambie fanyeni hiki, fanyeni kile, vinginevyo tunawafungia…
Sisi hatujali… Hatuna accounts huko na hatuhitaji kuwa na accounts… Hatuna chochote huko na haitokaa itokee tukamiliki chochote huko…
Kila tunachokifanya ni kwa ajili ya Burkina Faso…
Sisi hatuhitaji hata kutoka nje ya Burkina Faso yetu…
Tuna amani hapa… Tukihitaji kwenda kutalii nje ya nchi, tutakwenda Bamako (Mali), Niamey (Niger) au miji mingine… Hatuna sababu ya kwenda huko kwao… Tupo vizuri hapa kwetu…
Kuhusu uoga, hatuna uoga… Tunafahamu athari zinazotuzunguka… Tumeamua kulitumikia taifa letu, tume-sacrifice maisha yetu kwa taifa hili… Kwa nini tuwe waoga?… Tumeweka kando ujana wetu, kwa lengo la kulitumikia taifa, kwa hiyo hatuna uoga wowote, ondoeni shaka!… Uoga sifuri.
Tena umejaa ufisadi tupuHuku kwenue mna utawala wa kirai mbona kuna matatizo chunhu nzima?;
Alishafeli huyo kiuchumi, Kuna vitu kama kiongozi wa nchi hutakiwi kuviongea hata kama una chuki na mabepari Kwa kiasi gani. wewe tekeleza kimya kimya maono yako bila kumnanga mtu Kwa sababu katika njia ya kuliinua taifa na watu wake utawahitaji wote hata wale waliokuumiza hapo mwanzo ili mradi tu unawatumia Kwa manufaa ya watu wako.wanasubiri tufungue accounts za benki kwao (Ulaya) ili siku moja watwambie fanyeni hiki, fanyeni kile, vinginevyo tunawafungia…
Sisi hatujali… Hatuna accounts huko na hatuhitaji kuwa na accounts… Hatuna chochote huko na haitokaa itokee tukamiliki chochote huko…
Kila tunachokifanya ni kwa ajili ya Burkina Faso…
Sisi hatuhitaji hata kutoka nje ya Burkina Faso yetu…
Tuna amani hapa… Tukihitaji kwenda kutalii nje ya nchi, tutakwenda Bamako (Mali), Niamey (Niger) au miji mingine… Hatuna sababu ya kwenda huko kwao… Tupo vizuri hapa kwetu…
Kuhusu uoga, hatuna uoga… Tunafahamu athari zinazotuzunguka… Tumeamua kulitumikia taifa letu, tume-sacrifice maisha yetu kwa taifa hili… Kwa nini tuwe waoga?… Tumeweka kando ujana wetu, kwa lengo la kulitumikia taifa, kwa hiyo hatuna uoga wowote, ondoeni shaka!… Uoga sifuri.
Kwani kabla yake Burkina Faso haikuwahi kupinduliwa. Kilichotokea ni nini?Kabisa unajiona upo logical
Huyo Traore ana IQ ndogo na utoto huku akisindikizwa na sifa za kijinga. Hajui diplomasia kabisa.Alishafeli huyo kiuchumi, Kuna vitu kama kiongozi wa nchi hutakiwi kuviongea hata kama una chuki na mabepari Kwa kiasi gani. wewe tekeleza kimya kimya maono yako bila kumnanga mtu Kwa sababu katika njia ya kuliinua taifa na watu wake utawahitaji wote hata wale waliokuumiza hapo mwanzo ili mradi tu unawatumia Kwa manufaa ya watu wako.
Kwa Sasa njia ya kujichomoa kutoka umaskini Kwa nchi zetu ambazo ni masoko ya wakubwa ni ngumu na haihitaji watu kama yeye bali ni wanafiki huku unajua wapi unataka kuwafikisha watu wako ama sivyo ataishi Kwa hofu kama digidigi
Aliyoyasema ni yapi, maana inaonekana unayajua yote na haya niliyoandika hapa sio maneno yake.Hayo maneno kayasema wapi kama hujitungii tu stori za kufurahisha kichwa chako! Wewe umeweka tafsiri yako ambayo ni potofu.
Unaonaje ukaacha kutumia teknojia za hao unaoita mashoga ili kuungana kauli na Traore na uungane na Urusi ambao sio mashoga na sio mabeberu.Huyo Kiongozi nyinyi ndio mnaweka 'interpretation' ya maneno yake mnayotaka.
Huyu alikuwa Urusi siku siyo nyingi, nadhani mwaka huu huu kwenye Forum ya Putin.
Mnachotafsiri ni huko kujiondoa kwenye hao wanaoweka vikwazo hata mashoga wao wakikataliwa, kama alivyowekewa Zimbabwe hadi leo. Hao wakubwa wana 'values' zao wanazotaka ku-'impose' kwa nchi zingine.
Sijui ni dunia gani unayoizungumzia ya "interconnection"? kwani kuwa interconnected ni lazima kukubaliana na masharti ya hao mnaodhani watatuletea maendeleo?
Mbona dunia sasa inakwenda kivingine, na wao wanatafuta njia ya ku-rekebisha ujinga wao?
Mandela yupi angekuwa Japan angenyongwa??Mandela ? Hivi katika list unamuweka Mandela kama angekuwa ni MJAPANI angeuliwa
GADAFI IDDI AMINI MUGABE MAGUFURI NYERERE LUMUMBA hao kwangu ndio wazarendo wa kweli wa AFRCA ambao hawakutaka na hawakuwahi kulamba MIGUU ya mabeberu
Huyo DOGO kama aloyasema ni kutoka moyoni basi anafuata NYAYO za hai miamba
Kauli ya uoga hiyo kwa sisi wasomi ndo tumeelewa. Ukianza kusema nyumbani kwamba mimi ndo mwanaume hakuna mwanaume mwingine ujue unakaribia kufa. Hata Gadafi au jpm walianza hivyo hivyo kuuwadis wazunu mwisho ikabaki storyWanasubiri tufungue accounts za benki kwao (Ulaya) ili siku moja watwambie fanyeni hiki, fanyeni kile, vinginevyo tunawafungia. Sisi hatujali… Hatuna accounts huko na hatuhitaji kuwa na accounts… Hatuna chochote huko na haitokaa itokee tukamiliki chochote huko.
Kila tunachokifanya ni kwa ajili ya Burkina Faso. Sisi hatuhitaji hata kutoka nje ya Burkina Faso yetu. Tuna amani hapa… Tukihitaji kwenda kutalii nje ya nchi, tutakwenda Bamako (Mali), Niamey (Niger) au miji mingine… Hatuna sababu ya kwenda huko kwao… Tupo vizuri hapa kwetu.
Kuhusu uoga, hatuna uoga… Tunafahamu athari zinazotuzunguka… Tumeamua kulitumikia taifa letu, tume-sacrifice maisha yetu kwa taifa hili Kwa nini tuwe waoga? Tumeweka kando ujana wetu, kwa lengo la kulitumikia taifa, kwa hiyo hatuna uoga wowote, ondoeni shaka!… Uoga sifuri.
Si ajabu hiyo taarifa hapo ameiotoa huko kwenye viwebsite uchwara ambavyo ukichunguza zaidi zimeandikwa na diaspora wale ambao wameikimbia nchi baada ya Traore kuingia madarakani..... na siku zote habari za kuwachafua hawa viongozi wanaonesha kuwa ni Pan-Africanist huwa zinaenea kwa kasi sana.Taarifa ya rushwa unaipata kutoka kwa wakoloni,(western media), hahaha,kalaghabaho
Na hapo ndipo hao wazungu wanapokuja kuthibitisha kuwa wafrika akili zao ni duni sana na hawajui kiongozi sahihi ni yupi wanapenda kuongozwa na vibaraka.Si muda mrefu sisi wenyewe tutashirikiana na wazungu kwa kupewa vipande vya fedha ili kumuua mzalendo kama huyu. Yameshawahi kutokea nchi fulani.
Afrika inahitaji vijana wenye mtazamo wa aina hii. Na siyo kama hizi takataka za kwetu zilizoamua kujiita majina ya wadudu wachafu.Wanasubiri tufungue accounts za benki kwao (Ulaya) ili siku moja watwambie fanyeni hiki, fanyeni kile, vinginevyo tunawafungia. Sisi hatujali… Hatuna accounts huko na hatuhitaji kuwa na accounts… Hatuna chochote huko na haitokaa itokee tukamiliki chochote huko.
Kila tunachokifanya ni kwa ajili ya Burkina Faso. Sisi hatuhitaji hata kutoka nje ya Burkina Faso yetu. Tuna amani hapa… Tukihitaji kwenda kutalii nje ya nchi, tutakwenda Bamako (Mali), Niamey (Niger) au miji mingine… Hatuna sababu ya kwenda huko kwao… Tupo vizuri hapa kwetu.
Kuhusu uoga, hatuna uoga… Tunafahamu athari zinazotuzunguka… Tumeamua kulitumikia taifa letu, tume-sacrifice maisha yetu kwa taifa hili Kwa nini tuwe waoga? Tumeweka kando ujana wetu, kwa lengo la kulitumikia taifa, kwa hiyo hatuna uoga wowote, ondoeni shaka!… Uoga sifuri.