Nini mtazamo wako kuhusu kuongezeka kwa kasi kwa wachekeshaji Tanzania?

Nini mtazamo wako kuhusu kuongezeka kwa kasi kwa wachekeshaji Tanzania?

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Bila shaka utakubaliana nami kwamba, kwa kipindi Cha hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la comedians Tanzania ukilinganisha na miaka ya nyuma kidogo, zamani comedian wengi walikuwa agego, yaani wenye umri mkubwa kidogo japo hata Vijana wachache walikuwemo.

Lakini ni tofauti kabisa na Sasa, siyo watoto, Vijana mpaka wazee wamekuwa comedian na wengi wamewekeza kwenye social media. Ni jambo zuri maana imesaidia watu wengi kujiajili.

Hoja yangu ya msingi ni, kwanini kumekuwa na ongezeko kubwa la comedian Tanzania? Je, ndiyo kusema kwamba maisha magumu yanayosababishwa na ukosefu wa ajira rasmi imewafanya watu wengi kujiajiri kupitia comedy? Au ni ubora wa elimu yetu umeleta Vijana wengi wabunifu? Au kukua kwa Teknolojia nchini?

Je, kama taifa, hakuna tatizo kwa watu wake haswa Vijana kujikita kwenye comedy zaidi? Nini mtazamo wako?
 
Ajira ndio changamoto lakini na utandawazi
Kenya na India pia Nigeria Kuna comedian wengi kuliko hapa kwetu tena wanajulikana sana na wametoboa nadhani lugha na elimu vinawabeba
 
Issue kwa sasa ni platform,kuna uwanja mkubwa wa watu kuonyesha vipaji vyao social medias hata kama vipaji ni vidogo namna gani.
Kamsikilize masanja kwenye THE CLASSIC ya Efm,uone miaka 20 tu nyuma hapo hali ilikuwaje ili tu uende hewani.
Watu wengi walikata tamaa na kuamua kugeukia issue zingine.
 
Nakumbuka Idris aliwahi kufanya stand up comedy, ameongea Weeeeee eee ila raia wamekaza tuu hata hawacheki ikabidi jamaa aanze kucheka mwnyw 😂
 
Nadhani ni baada tu ya vijana kugundua fursa kubwa iliopo katika commedy kwenye swala zima la kujiongezea kipato, kama ilivo tu kwenye ongezeko la waimbaji wa muziki miaka ya 2010's, sio kwamba vipaji ni vingi hapana, ni baada ya vijana kugundua kumbe kwenye muziki kuna fursa ya kupiga heka kama alivo piga diamond.

So ni swala la kuona Fursa na kuichangamkia tu, ikitiki bahati yako ikigoma basi haikuwa ridhiki
 
Kazi zote wamechukua watoto wa vigogo.

Walalahoi wamebakia na kujichekeshachekesha na uchawa.
 
tunazamaa mazeee dah
FB_IMG_1713966560376.jpg
 
Bila shaka utakubaliana nami kwamba, kwa kipindi Cha hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la comedian Tanzania ukilinganisha na miaka ya nyuma kidogo, zamani comedian wengi walikuwa agego, yaani wenye umri mkubwa kidogo japo hata Vijana wachache walikuwemo. Lakini ni tofauti kabisa na Sasa, siyo watoto, Vijana mpaka wazee wamekuwa comedian na wengi wamewekeza kwenye social media. Ni jambo zuri maana imesaidia watu wengi kujiajili. Hoja yangu ya msingi ni, kwanini kumekuwa na ongezeko kubwa la comedian Tanzania? Je, ndiyo kusema kwamba maisha magumu yanayosababishwa na ukosefu wa ajira rasmi imewafanya watu wengi kujiajiri kupitia comedy? Au ni ubora wa elimu yetu umeleta Vijana wengi wabunifu? Au kukua kwa Teknolojia nchini? Je, kama taifa, hakuna tatizo kwa watu wake haswa Vijana kujikita kwenye comedy zaidi? Nini mtazamo wako?
Ongezeko linatikana na uwezo mdogo wa viongozi wa CCM kwenye kutekeleza majukumu yao ya kazi, tunashuhudia majaribio ya kila mara ya treni ya SGR ambayo hayana tija.
 
Wanatufungulia Dunia tunayoitaka.

Ni jukumu letu kucheka hadi tukome...
 
S
Issue kwa sasa ni platform,kuna uwanja mkubwa wa watu kuonyesha vipaji vyao social medias hata kama vipaji ni vidogo namna gani.
Kamsikilize masanja kwenye THE CLASSIC ya Efm,uone miaka 20 tu nyuma hapo hali ilikuwaje ili tu uende hewani.
Watu wengi walikata tamaa na kuamua kugeukia issue zingine.
Mkuu kumbe ulipata nafasi kumsikiliza asee kuna madini sana kusikiliza kile kipindi
Big up kuvichaka.
 
Bila shaka utakubaliana nami kwamba, kwa kipindi Cha hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la comedians Tanzania ukilinganisha na miaka ya nyuma kidogo, zamani comedian wengi walikuwa agego, yaani wenye umri mkubwa kidogo japo hata Vijana wachache walikuwemo.

Lakini ni tofauti kabisa na Sasa, siyo watoto, Vijana mpaka wazee wamekuwa comedian na wengi wamewekeza kwenye social media. Ni jambo zuri maana imesaidia watu wengi kujiajili.

Hoja yangu ya msingi ni, kwanini kumekuwa na ongezeko kubwa la comedian Tanzania? Je, ndiyo kusema kwamba maisha magumu yanayosababishwa na ukosefu wa ajira rasmi imewafanya watu wengi kujiajiri kupitia comedy? Au ni ubora wa elimu yetu umeleta Vijana wengi wabunifu? Au kukua kwa Teknolojia nchini?

Je, kama taifa, hakuna tatizo kwa watu wake haswa Vijana kujikita kwenye comedy zaidi? Nini mtazamo wako?
Vijana wameona ni ajira maana wanamaliza chuo ajira hakuna. Akihit basi anapatta michongo mingine anakuwa na access hata ya kuwafikia viongozi wakubwa
 
Back
Top Bottom