Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?
Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?
Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.
Kwa sababu huyu jamaa pia ni mfuasi wa CHADOMO kwa hivyo atakuwa pia na uhusino wa karibu sana na yule Mshenga Mkuu anayefuga MISUKULE..... Mkuu swali lako la 1 linaweza kujibiwa na huu uhusiano...
Hahaha..ray jay bwana
Kwa sababu huyu jamaa pia ni mfuasi wa CHADOMO kwa hivyo atakuwa pia na uhusino wa karibu sana na yule Mshenga Mkuu anayefuga MISUKULE..... Mkuu swali lako la 1 linaweza kujibiwa na huu uhusiano...