Nini na nani yuko nyuma ya mshana jr?

Nini na nani yuko nyuma ya mshana jr?

Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?

Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.
Kwani na wewe hayo unayoyapost anakutuma na kukulipa nani?
 
Mshana Jr, Mimi naona hana shida kabisa huyu mku,
ameamua tu kutoa elimu katika eneo hilo.
 
m
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?

Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.
m nafikiri ameamua kama wewe ulivyoamua kuandika hii kwani umelipwa?
 
Huyu Jamaa anayejiita mshana humu ndani amekuwa akitumia muda mwingi kuandika na kujibu comment za watu kuhusu mambo ya uganga, uchawi , ushetani na mambo ya kuzimu. Maswali yangu ni haya: 1.Nani anayemtuma?
2. Analipwa na nani?
3.Kwa mini anatimia muda mwingi kuandika haya?
4. Je siyo mmoja Wa waabudu shetani?
5. Lengo lake ni nini?

Naomba hoja zenu wana jf na yeye mshana Jr atajibu maswali haya na hoja zenu.

Ukipata jibu la no.2 mshitue Dr. Rutengwe anatafuta kazi!
 
Jamaa anaona kilingeni wateja wanapungua, kumbe huku kuna kilinge kingine,kiingilio ni bundle yako tu,sasa ndio amekuja kulianzisha, kwanza anampima sangoma mwenzake mshana jr,kama yuko fit,nadhani akaambiwa huyo humuwezi kuna walio nyuma yake,sasa jamaa kachanganyikiwa karopoka hapa,kweli mshana jr kazindikwa
 
Jamaa anaona kilingeni wateja wanapungua, kumbe huku kuna kilinge kingine,kiingilio ni bundle yako tu,sasa ndio amekuja kulianzisha, kwanza anampima sangoma mwenzake mshana jr,kama yuko fit,nadhani akaambiwa huyo humuwezi kuna walio nyuma yake,sasa jamaa kachanganyikiwa karopoka hapa,kweli mshana jr kazindikwa
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Jamaa anaona kilingeni wateja wanapungua, kumbe huku kuna kilinge kingine,kiingilio ni bundle yako tu,sasa ndio amekuja kulianzisha, kwanza anampima sangoma mwenzake mshana jr,kama yuko fit,nadhani akaambiwa huyo humuwezi kuna walio nyuma yake,sasa jamaa kachanganyikiwa karopoka hapa,kweli mshana jr kazindikwa
Duuuu
 
huwa nafungua thread za mshana jr nikiwa nimejawa na woga.huwa nashukuru nkikuta thread yake sijaielewa na siumizi kichwa nkiona hali hiyo nakimbilia jukwaa la elimu kusikia ya ndalichako na wachora katuni
 
Mi nnafikiri huwa anatoa elimu tu kuhusu haya mambo kama ilivyo elimu nyingine either huwa anasoma vitabu then ana share experience yake,anavyoelewa yeye na sisi pia tunajifunza kupitia idea hizo.Ni kama mwalimu wa hesabu anajifunza kanuni halafu anakuja kuwafumbua akili na kuwapa ujanja na mbinu za kuelewa somo,hivo ni sehemu tu ya kueleweshana mengine siri yake.
 
Back
Top Bottom