Kwanini hujashirikiana na polisi kwenda vingubguti kuinasa?Habar zenu wadau,. Ndgu yangu kaibiwa sim aina ya infinix, alikuw kwny daladala wahuni wakapita nayo. Alivoshuka kwny kituo chake kajikuta hana simu...
Dah! Nilidhani kaibiwa simu kweli, kumbe kaibiwa Infinix.Ndgu yangu kaibiwa sim aina ya infinix
Kaenda polisi kaambiwa mchakato wake mrefu sana. Mpk aende sjuw tcra akapate location ambayo inagarim 50000 elfu,hlf aende kituoni atoe hela ya mafuta ndio wakaitafute,kwa mujbu wa maelezo alopewa. Sas hapo wakanichanganya kbsKwanini hujashirikiana na polisi kwenda vingubguti kuinasa?
Huo ni umaskini ngoja upigwe zaidi na police vitu kibao watakuhitaji uwapelekee zikiwemo hela we renew line kanunue mpyaHabar zenu wadau,. Ndgu yangu kaibiwa sim aina ya infinix, alikuw kwny daladala wahuni wakapita nayo. Alivoshuka kwny kituo chake kajikuta hana simu...
Natania tu Mzee.Daaah mwanangu,uchumi wa watanzania walio wengi nadhan unauelewa, hatuna pesa ya kununulia hzo unazoziita simu. Kaka. Km una wazo nipatie kiongoz
Asikutishe huyo inawezekana ukitaka kumkamata Muhuni watumie Wahuni zaidi yakeDaaah kwamba hii ndio bas haiwezekan kbs kuipata?
Umeiunga na GPS au ndio kalambaje zawadi ya Wahuni?[emoji23][emoji23] unafurahsha kiongozi wkt nko stressed hpa
Ila jf mna dhambi 🤣🤣Dah! Nilidhani kaibiwa simu kweli, kumbe kaibiwa Infinix.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue