stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kwa kutumia nini app gani? Km umeiunga unaifuata mpaka ilipo iwe ON au OFFImeungwa kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kutumia nini app gani? Km umeiunga unaifuata mpaka ilipo iwe ON au OFFImeungwa kaka
Kwa tabu sana ukiipata na ukianza inabidi umalize bora uachane nayo tuDaaah kwamba hii ndio bas haiwezekan kbs kuipata?
Tufundishe Tecno yangu naipenda sana aisee
Wewe unafuatilia hata vitu vidogo. unaweza vumilia kweli ukiibiwa mke weweDaaah
Kaka yangu alishapataga simu ila sasa wale wakutafuta wanahitaji ela kama sio ya garama sanaHabar zenu wadau,. Ndgu yangu kaibiwa sim aina ya infinix, alikuw kwny daladala wahuni wakapita nayo. Alivoshuka kwny kituo chake kajikuta hana simu,
Akaazima simu kuipiga namba yake,jamaa akapokea akamwambia njoo sehem flan uchukue simu yako. Akakodi boda hadi eneo husika. Akampigia jamaa akamkatia simu na akawa hapatikani kbsa.
Nmejarbu kuchek location sim naiona ipo Vingunguti na haijahama location kwa muda wa masaa 5.
Sas nauliza wadau nifanye nini ili niweze kuipata hii simu ya mdg wangu?
Simu km Ina email Ina kila kitu chako unaipata tena ndani ya masaa 24 Ila sasa hii michezo ni very risk akipasuka mtu wa kwanza kudakwa alietrackHii hpn kaka. Nilichofanya nimeweka email kwny ile find my device ndio nikawa naiona huko Vingunguti
Sas kaka,hii location ambayo naiona huku huenda sio ynywe au,hapo sjaelewa kiongoz.Simu km Ina email Ina kila kitu chako unaipata tena ndani ya masaa 24 Ila sasa hii michezo ni very risk akipasuka mtu wa kwanza kudakwa alietrack
IPO hivi km Simu Ina email yako inatengenezwa link anatumiwa huyo Mwizi akiibonyeza tu HIO link inaonyesha exact location unaenda hapo kuichukua Simu yako fasta Ila asipasuliwe mtu na sitaki kufanya hio michezo sababu ni very risk siwezi kudhibiti hasira za watu Mimi
Acha dharau, hujui ali hastle kiasi gani ukipata simu hiyoDah! Nilidhani kaibiwa simu kweli, kumbe kaibiwa Infinix.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mjue mteja wako. Kabla huja reply jiulize huyu ninayemjibu niandike jibu langu kwa uandishi gani?Tunavumilia tu dharau zao kaka,7bu hayajamkuta