Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
Kwa miaka sasa ninatumia nguvu kubwa kutumia njia mbali mbali japo tu, nisahau makosa yangu yaliyo haribu njia ya maisha yangu lakini naishia kupata ahueni kwa muda tu na baadaye najikuta niko na yale maumivu.
Wakuu nisaidieni mbinu mbadala mlizotumia kusahau makosa yenu kwenye safari zenu za maisha.
" Let go of what was Accept what is Have faith in what will be"
Wakuu nisaidieni mbinu mbadala mlizotumia kusahau makosa yenu kwenye safari zenu za maisha.
" Let go of what was Accept what is Have faith in what will be"