Hiyo Website haipo hewani toka jana Mchana kwa saa za Tanzania,hapa Jamii pakiwa ni baadhi ya vyanzo vya habari ya wanaouendesha mtandao huo...Tusijisifu kwamba mtandao huo umekufa tuzidi kuendelee kutoa ushirikiano ili usirudi tena Hewani....Lakini baadhi ya watu walioulizwa nani anauendesha wanatoa ushirikiano mzuri......kwa taarifa tu watatajana wengi na hatimaye Kinara atashikwa.......Kizuri na kikubwa imejulikana ni wapi picha nyingi zinakuwa Posted...kwa maana hiyo inawezekana Kinara wa mambo hayo yupo Eneo hilo....Tuendelee kufahamishana yaliyo mazuri na yale yote mabaya tushirikiane pia kuyapiga Vita!!
Kikubwa ni kwamba tuwe na heshima na staha katika kuandika mambo humu..tusitumie uhuru huu kupakana matope na kuchafuliana majina...Usijipe faraja kwamba upo peke yako unapoandika hapa,na unaweza kuvurumisha kila namna ya kashfa...kufikiri hivyo tu ni upungufu wa uungwana...Tujenge tabia ya kupendana na kuheshimiana!!Huo ndio utaratibu na utamaduni tuliyouzoea...