Kikwete ana IQ ndogo sana......
hizo picha za zeutamu haziwezi kuondoka uki google unazipata zote
google zeutamu halafu above the search box second left click images
utaziona zote mpaka ya mkulu
Yapo mengi yalodhihirika hususan 'mkuki ulivyo mtamu kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu'. Ni kwelie walishalalamika wengi hata maprof wa SUA lakini haikusaidia. Bado ni wazi kuwa walishindwa kabisa kuikomesha utamu kwa kasi ambayo wangetamani. Mkuu wa kaya alibaki ametundikwa kwa wiki kadhaa na wengine waliendelea kujumuishwa. Ndo maana hata sasa kuumbuana kwenye ufisadi mengi yatawekwa hadharani kabla hawajaweza kuyadhibiti kwani yote yawajia kwa kushtukiza. Ndo maana sasa jibu la RA kuwa mbunge na 'king maker' wa Tz akiwa na uraia tata bado lawaumiza vichwa. Liquid will always find its own level. Kwa mwndo wa mafisadi wachache kufaidishwa rasilimali za wanyonge na wenyewe wakibaki kutaabika mengi yatakuwa na mwisho tu.
Tukuambie nini?mi niko confuse picha ya mkuu JK iliwekwa zeutamu anafanya what is not suppose kufanya kama political figure, married man and a father? maana mimi hii zeutamu siangali kwa sana inawezekana nilipitwa.
niambieni nyie lol
Picha iliyowekwa ilikuwa ni uongo na uzushi.
Inatakiwa woote wenye akili timamu kuilaani Zeutamu!
ZEuTAMU oyeeeee...oyeeeee...ZeUtamu juu...juu...na juuuuu zaidi
chakuchekesha sasa, wanadhani wameifunga kabisa lakini picha bado karibu zote zinaonekana google, just type "site:andika website ya utamu hapa" halafu click on images tab....zoooote zipo...kumbukeni mtu ukiweka kitu online ndo imetoka hiyo...
katika hili mimi lilinigusa saaaaana, lakinikwakuwa sijui sheria sana nikahisi ni taratibu za bunge...tukio la mbagala lilitingisha nchi lakini bunge halikuteteleka..na hata kesho yake baada ya matukio yale waziri mkuu alijibu maswali ambayo hakuna hata moja lililogusia suala la mabomu ya mbagala na hata katika hotuba yake ya kufunga shughuli za bunge siku ile hakusema wala kutaja chochote juu ya tukio lile...hivi hawakuwa na taarifa?? ipi sheria inayowazuia kuonyesha masikitiko yao kwa tukio kama lile katika vikao vinavyoendelea??The answer to your question is: THEY JUST DON'T CARE! Viongozi wetu hawajali, hebu kumbuka mabomu ya Mbagala, bunge liliendelea kama kawaida na Pinda alibaki mpaka saa 2 usiku bungeni hakuna hata kusimama kuwakumbuka wahanga wala nini! Unafikiri ni kwa kwa nini? THEY DON'T GIVE A DAMN!
Mkuu angalia utarudi sello mi niliwahi ifagilia ze uchungu nilitishiwa shauri yako mkuu.....tutakukosa tena jamvini. Ila kweli nimeimiss sana nilikuwa nachukua maufundi mle Kibunango siku hizi katutosa kabisa.
It is very frustrating, welcome to the club of the frustrated bro, welcome to the club. But one thing for sure , we won't be frustrated forever....that is for sure.
Nimeiona hii makala ndefu yenye uchambuzi wa kina kuhusu mkabala mzima wa jamii ya Tanzania - inakotoka, jinsi ilivyofikia kuwa na tovuti kama ZE UTAMU, athari za utandawazi pamoja na changamoto la nini cha kufanya. Ni makala nzuri ya kiuchambuzi ambayo pengine itakuwa vizuri tukiijadili hapa.
Makala hiyo inapatikana katika blogu ya Dkt. Matondo wa chuo kikuu cha Florida; na pia imechapishwa katika gazeti la Kwanza Jamii la wiki hii.
matondo.blogspot.com
Naomba kuwasilisha
MNYANTUZU kutoka BARIADI