Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

You can Say It Again. Mi ndio maana napenda kujiexpress na mabaamedi. Elfu ishirini mnakula, mnakunywa, mnamegana na nauli bado iiapatikana ya kutosha. Ukichokana naye kesho anakufanyia mpango kwa rafiki yake. Hawana wivu na ni wabunifu na wazoefu. Wanatoa ushirikiano wa hali ya juu.

Itabidi unipe uzoefu mpwa si unajua hili darasa linawenyewe?
 
nyie wazee hivyo vikao vyenu ndio vya kuondoka na wambulu, wasambaa nk...?...kokoto ni nini?
sasa tutafanyeje mpwa?
ndo raha ya pombe!ukishafika bia ya nane kila mwanamke unaona anakufaa😀
 
Ningeshangaa sana usingeulizia kokoto! Hahaha! Wacha mchezo. Buku tatu unatafuna ugali na kokoto zenye akili. Then baada ya hapo bia zinamwagika kama mayi!

sasa c ndo uniambie ni nini hicho? mie nimezoea sukuma wiki.
 
HEHEHEHE!
jamaa anasema nilipendeza?!hivi nilivaaje?

hahaaa, mkuu ulikua umekula shati waiti hivi!, na ulikua 'fresh'
ebana jana nilikua ukweni nikashindwa kutia maguu zero pub.
ila iliniuma kukosa kumuona huyo bibie watu waliotwangana magumi kwaajili yake!!
 
Jamani mimi nilitoa udhuru iliyoeleweka nafikiri,
 
Professional gals bwana! Kwanza hizo expenses pasu pasu.....mnakula good time thats all, demu wa kunipiga mizinga hana nafasi na mimi!

What kind of Proffession? am ulikua unataka kusema interlectuals. kwasababu hata wale wa Kona bar ni maproffessional kwenye hiyo kazi yao! upo hapo?
 
hahaaa, mkuu ulikua umekula shati waiti hivi!, na ulikua 'fresh'
ebana jana nilikua ukweni nikashindwa kutia maguu zero pub.
ila iliniuma kukosa kumuona huyo bibie watu waliotwangana magumi kwaajili yake!!
sasa huyu ndiye alifanya kila kitu kionekane saaaafi!tulipotoka pale mwendo mpaka rizooti kwa kaizer!HESHIMA IKAENDELEA
 
You can Say It Again. Mi ndio maana napenda kujiexpress na mabaamedi. Elfu ishirini mnakula, mnakunywa, mnamegana na nauli bado iiapatikana ya kutosha. Ukichokana naye kesho anakufanyia mpango kwa rafiki yake. Hawana wivu na ni wabunifu na wazoefu. Wanatoa ushirikiano wa hali ya juu.
hahaaaa, mkuu this is a point to note and taken into consideration for further action (ki-bluurei!!).
nimekugongea senxi kule, kahakikishe!
 
What kind of Proffession? am ulikua unataka kusema interlectuals. kwasababu hata wale wa Kona bar ni maproffessional kwenye hiyo kazi yao! upo hapo?

Duu kazi kazi ipo! unategemea kweli nilikuwa nazungumzia house gals? tafadhali leo mwenzio nina furaha !
 
Duu kazi kazi ipo! unategemea kweli nilikuwa nazungumzia house gals? tafadhali leo mwenzio nina furaha !

kwana hakuna proffessional house girls!! Rekebisha ngeli kidogo jombaa!
 
Duu kazi kazi ipo! unategemea kweli nilikuwa nazungumzia house gals? tafadhali leo mwenzio nina furaha !

kwani hakuna proffessional house girls!! Rekebisha ngeli kidogo jombaa!
 
TUKO PAMOJA MPWA!na sheria zetu zinajulikana!FAINI-RAUNDI TATU
mkuu leo mdomo mchungu kinoma, mambo yakiwa swafi ntakatiza kwa KINIBU pale kufanya mambo, ntakucheki.
 
sasa tutafanyeje mpwa?
ndo raha ya pombe!ukishafika bia ya nane kila mwanamke unaona anakufaa😀

hahaha! Kama yule wa jana alivyogeuka kuwa mrembo ghafla mpaka mpwa fidel akang'ang'ania kupewa contacts. Hahahaha! Biere bana!
 
Back
Top Bottom