Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

Nini nisifanye nikiwa 'outing' kwa mara ya kwanza?

Wakati wa kulipa bili usipoteze uchangamfu..jifanye ni mambo madogo kama kujuta kajutie ghetto ukiwa alone.

Mmh, haya mkuu
Style yangu ni kumpa date kwenye baa ya uswazi hata afanyevipi, bili haitanipotezea uchangamfu. Napiga mavazi ya kiswazi. Tena nashuka na daladala, ila huwa sichelewi hata dakika. Simu kama nokia ringo vile. Maongezi ka ya Sinza Kijiweni ila attention 100%. Na mimi nasoma nijue kama maji marefu nitimue mapema
 
Mmh, haya mkuu
Style yangu ni kumpa date kwenye baa ya uswazi hata afanyevipi, bili haitanipotezea uchangamfu. Napiga mavazi ya kiswazi. Tena nashuka na daladala, ila huwa sichelewi hata dakika. Simu kama nokia ringo vile. Maongezi ka ya Sinza Kijiweni ila attention 100%. Na mimi nasoma nijue kama maji marefu nitimue mapema

Duh mkulu makubwa hayo

........
Style yangu ni kumpa date kwenye baa ya uswazi hata afanyevipi....???

Huyo shostito anakuja kweli huko sinza kijiweni kwenye zile chips chips hapo ??????? au attendence huwa ni zero %?????


mwana wane nawe nkiboko kweli!
 
Duh mkulu makubwa hayo



Huyo shostito anakuja kweli huko sinza kijiweni kwenye zile chips chips hapo ??????? au attendence huwa ni zero %?????


mwana wane nawe nkiboko kweli!

Mkuu Jethro hata mbuyu ulianza kama mchicha. Wanakuja tena sana tu. Tatizo ukimwanzia mambo ya juu na yeye anakuwa matawi ya juu. Wanawake (wengi) nawasifu kwa uwezo wa kuji adjust kulingana na mazingira. Tukitoka Sinza tunaendelea kwingine hata Rio tutakwenda ila uswazi ndio pa kuanzia. BTW mazingira ya uswazi yanachangia sana kuleta mood ya maongezi..mara kuku kapita, unafukuza inzi mezani, kibaka anataka kukwapua nk
 
Mkuu Jethro hata mbuyu ulianza kama mchicha. Wanakuja tena sana tu. Tatizo ukimwanzia mambo ya juu na yeye anakuwa matawi ya juu. Wanawake (wengi) nawasifu kwa uwezo wa kuji adjust kulingana na mazingira. Tukitoka Sinza tunaendelea kwingine hata Rio tutakwenda ila uswazi ndio pa kuanzia. BTW mazingira ya uswazi yanachangia sana kuleta mood ya maongezi..mara kuku kapita, unafukuza inzi mezani, kibaka anataka kukwapua nk

Mkulu MwalimuZawadi,

kweli ulichokisema ila nao ktk hali ile wanapaswa nao kutambua maana wana show maswaga mbaya usipaime, nili visit Arusha kitambo kwa best nikamkuta kapewa maswaga na shostito mpaka hoi na shostito huyo ilikuwa ni a just a 1st date out jamaaaa alikuwa analia hakuana rangi ya swaga hakuiona na demu huyo alipewa full outing ya nguvu mbaya at the end jamaaa akasepa alimshindwa coz ya swaga kibao, hawa mashostito sometime wanapoteza bahati sana.

sometime kwa formula yako ya uswazi nayo ni poa kupima upepo umwone kama yupo hata kwa uswazi??
 
ikiwa ni outing mara ya kwanza usijaribu kujifanyisha,kua kama wewe halisi,usijaribu kuiga tabia ambayo hunayo,demu atakupendea tabia ulizoigiza at the time ukiwa kwenye tabia yako halisi lazima mgombane,ndugu yangu kama ni kwenye kula naagiza msosi mlima tena hata muhudumu namwambia asinipunje, kua wewe siku zote ili upate mwanamke ambaye atakupenda ulivyo,usije ukaishi kwa kumfurahisha mtu
 
Si kila demu anataka janaume pole!! Cha kwanza unatakiwa ujue huyo demu unamwitaji kwa ajiri gani, je ni 1 night stand or for two weeks or wakuchapa unapohitaji au una nia ya ku build life time relatioship!!

Ukijua unamuhitaji kwa sababu na mipango gani then itakuwa rahisi kwako ku strategise. Mfano, unaenda na demu out ambaye una nia ya kumchapa tu na kummwaga, na unaona kabisa anapenda matawi ya juu, jifanye mshua na huna shida ndogo ndogo!! Ikibidi kama anaki starlet mwahidi utamnunulia RAV 4 - 3 doors, mpeleke mbali na kwao kwenye kiwanja cha maana, mle raha mpaka late night, afu jifanye huwezi drive coz its too late!! Mchezo utakuwa umeisha, utalamba asali na kutambaa!!

Kama ni demu unaye intend ku build long time relationship, strategy itakuwa tofauti kulingana na aina ya demu na social class yake!!!

Wengine tulishawahi kwenda mpaka kwa Mwakasege Biafra kwenye mahubiri ili mradi tu tung'oe mzigo!!! Wadau its not necessary that you should be yourself when you need a cute chick!!

You be youself you lose her!! So be strategic

Daaaaaah.. Mkuu hapa umeua.. basically, you should know what you want.

Yooote hapo nakubaliana na wewe mpwa, ila hapo kwenye red hapo! Dah! Nadhani yatahitajika maombi! Ni heri niachane na binti kuliko kuachana na serengeti!

Hehehe... Mkuu serengeti na demu ipi bora?

You can Say It Again. Mi ndio maana napenda kujiexpress na mabaamedi. Elfu ishirini mnakula, mnakunywa, mnamegana na nauli bado iiapatikana ya kutosha. Ukichokana naye kesho anakufanyia mpango kwa rafiki yake. Hawana wivu na ni wabunifu na wazoefu. Wanatoa ushirikiano wa hali ya juu.

Hehhehe.. Nahisi ulishapewa degree na mabamedi

Mnampa theories nyingi mtoa thread...muhimu kuwa na mkwanja,konom za kutosha na usinyonye maziwa mkifika sehem sehem..siku hizi wanapaka cocaine halafu wanaondoka na hilo GX-110 Lako...Lol

Aiseeeeeeeee... never heard of this before... tnx for da warning...

mwenzio siku ya kwanza nilienda kanisani kwao (kanisa gani lile wanaonyeshaga kwa kutumia kituo kimoja kinaitwa ATN) tukasali wote nilikuwa mpole, siongei sana.
baada ya sadaka na matangazo tukatoka.tukashuka china town pale tukala msosi, wakati huo siongei sana, namsifia tu. siku hiyo hiyo jion nikala tunda la uhuru.

so inategemea ni nani na wewe unamchukuliaje!

nakumbuka kwamara ya kwanza siku hiyo nilivaa tai

hahahaha


Heheheh.. Kweli mkuu ulimuhitaji huyo mdada kwa udi na uvumba..
 
Back
Top Bottom