Nini njia ya kuachana na huyu mwanamke anayenitesa kiasi hiki?

Nini njia ya kuachana na huyu mwanamke anayenitesa kiasi hiki?

GENTAMYCINE

Rafiki huna tatizo lolote haya ndiyo wadhungu wanayaita "Real Love" Mwanangu usisahau kuleta mrejesho kama jamaa kakubali kupanda teksi au anataka tiketi ya ndege ili tukusaidie usije poteza hilo pendo kwani linatamanisha.
 
Last edited by a moderator:
Acha kutudanganya, umetoka kazini saa saba mchana!! ulikua korokoroni??:wacko::wacko:
 
Ndiye huyu huyu uliyeleta thread juzi hapa "Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke nahairisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015"?


Anyway, nilikuwa nikiheshimu "sredi", post zako sana jukwaani.

ha ha ha humu watu wehuuu aiseee
 
Usijali kabila lenu ndivyo mlivyo :A S wink:
 
Duh! Aisee Watu Inaonekana Mnanifuatilia Mno Hadi Kupita Kiasi. Mtanitisha Sasa!

si lazima upost uzi mpya wengine jukwaani tunapita ku comment tuu. Mm nina mwaka jf nilishatupost uzi mmoja tuu zilizobaki ni just comments. Unakumbuka ulichokipost juzi?????? Acha utoto dogo
 
Acha kutudanganya, umetoka kazini saa saba mchana!! ulikua korokoroni??:wacko::wacko:

kazi yenyewe anayo? Labda kama kapata majuzi kuna siku nilimwonaga jukwaa ka kazi na mbwembwe za interview. Anyway.
 
Back
Top Bottom