Nini njia ya kuachana na huyu mwanamke anayenitesa kiasi hiki?

Nini njia ya kuachana na huyu mwanamke anayenitesa kiasi hiki?

GENTAMYCINE

Mental block, you must be seriously mentally challenged,Bs
 
Last edited by a moderator:
Duh.., ila fix nyingine jamani tuangalie na hadhira tunayoieleza!!
 
Sio wewe majuzi kati apa umesema ulikua uoe mwaka huu december? Hahhhhahaha
Sema ukaghairisha kisa uhuni wa jirani yako wa Tiaraei.
We ni noumaaa...
Story zako zinasomeka sema matukio hujayapangilia ,kingine ukiwa muongo uwe na kumbukumbu nzuri.
 
Hap marafiki inakuwaje wanakuwa karibu na wake zenu?
 

Na kuna wazo linanijia kuwa akishamaliza tu na huyo mshikaji basi nimkodie jamaa teksi impeleke kwake kupumzika halafu na mimi baadae nitoke na mke wangu kwenda kumnunulia zawadi.

😱😱
 

Attachments

  • 1435345167503.jpg
    1435345167503.jpg
    20.4 KB · Views: 215
Sio wewe majuzi kati apa umesema ulikua uoe mwaka huu december? Hahhhhahaha
Sema ukaghairisha kisa uhuni wa jirani yako wa Tiaraei.
We ni noumaaa...
Story zako zinasomeka sema matukio hujayapangilia ,kingine ukiwa muongo uwe na kumbukumbu nzuri.

Labda yeye ndio yule kibabu aliyefanyiwa vituko na jirani,..
 
Hahah njia ya muongo fupi hajasubr hata mwez upite ndo uamin kuna watu wameajiriwa huku kwa stori za kuamsha jukwaa
Sio wewe majuzi kati apa umesema ulikua uoe mwaka huu december? Hahhhhahaha
Sema ukaghairisha kisa uhuni wa jirani yako wa Tiaraei.
We ni noumaaa...
Story zako zinasomeka sema matukio hujayapangilia ,kingine ukiwa muongo uwe na kumbukumbu nzuri.
 
Inawezekana ile ruling ya Supreme Court ya Marekani iliyotolewa tarehe 26 Juni 2015 inakuhusu
 
Back
Top Bottom