Nini njia ya kuachana na huyu mwanamke anayenitesa kiasi hiki?

Ee bana jombaa pole sana aisee sasa wewe ni nn ambacho kinaweza kukufanya uachane na mkeo kama tu unakuta anagegedwa afu ndo unaenda kumchukulia na jamaa tax. Ama kwel wewe wahitaji maombi
 
Nilikuwa nasoma kwa makini kila post yako, ila kuanzia leo....
 
I see,basi kama ndivyo,octoba lazima mabadiliko yafanyike
 
Hahah njia ya muongo fupi hajasubr hata mwez upite ndo uamin kuna watu wameajiriwa huku kwa stori za kuamsha jukwaa

Haswaaa.atakua analipwa vizur sana huyu.maana ana mikasa kibao alosimulia humu jukwaani.i guess there is more to come.hahhhahahahaawonderz shall never end.
 
upuuzi mtupu....fikiria kabla yaku anzisha uzi usio na mwelekeo...mazafanta.
 
njia ya kuachana nae ni very simple,,,,,anza kupiga nyeto.....uchawi wote unatoka.....
 
Unakera kaa nn mleta mada...shigongo ametangaza ajira za mtunzi wa hadithi....
 

if and only if is a true story kuamzia leo nitaanza kuamini kuwa kuna uchawi
 
kazi yenyewe anayo? Labda kama kapata majuzi kuna siku nilimwonaga jukwaa ka kazi na mbwembwe za interview. Anyway.

Kwahiyo Kwa Jinsi Ulivyo " POPOMA " Wewe Mtu Akisema Kuwa Anaenda Kufanya Interview Basi Kwako Wewe Ndiyo Inamaanisha Kuwa Hana Kazi? Hivi Nyie Watanzania Baadhi Mmesoma Kweli? Wapi? Mmefundishwa Na Walimu Gani? Kwa Hizi Pumba Eti Huyu Nae Huko Mtaani Kwake Anajiita MSOMI ALIYETUKUKA! Kazi Yangu Hata Usome Vipi Huna Uwezo Wa Kuifanya Na Hata Tu Kufikiliwa Kuifanya Na Utabaki Hivyo Hivyo Na Huo MTAZAMO Wako. Kwahiyo Kumbe Watu Wote Wanaotangaza Humu Kuwa Wanataka Kufanya Interview Kwako Wewe Ni Jobless? Hivi Humu TUNAJUANA? Halafu Inaonekana Unanijua Na Unanifuatilia Mno au Wewe Ndiyo Unataka Kuolewa Na Mimi? Usione Aibu Kusema Kuwa UNANIPENDA Dada Yangu Kwani Wahenga Walishasema Kuwa " Penzi Ni Kikohozi ".
 
siku ukimkuta mkeo abanduliwa na mwaume mwingine, wakimaliza huyo mwanaume umwambie akugegede na wewe mbele ya mkeo. siku hiyohiyo mkeo ataondoka kwenda kwao
 
Ha ha ha ha ha hebu muulize mkeo alienda kwa Mganga gan, nataka nikamroge mtu fulan humu jf, maana nampenda ye hanipend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…