Zanzibar 2020 Nini sababu hasa ya Kura ya Mapema kwa wapiga kura wa Zanzibar wasiozidi laki 5?

Zanzibar 2020 Nini sababu hasa ya Kura ya Mapema kwa wapiga kura wa Zanzibar wasiozidi laki 5?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Hata ukimsikiliza mwenyekiti wa ZEC kwenye hili hutamwelewa , anachoongea hakieleweki hata chembe
 
Dola ikisema imesema babu asitake kutoa damu za watu kisa yeye awe Rais.
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Hapo ndio goli la mkono lilipotegewa.Mkliikubali Wazanzibari imekula kwenu.
Huo ni wizi wa kitoto sana.Any way mbinu zimewaishia
 
Hapo ndio goli la mkono lilipotegewa.Mkliikubali Wazanzibari imekula kwenu.
Huo ni wizi wa kitoto sana.Any way mbinu zimewaishia
Yaan hata wazanzibar wakikataa kitakavho endelea kinasikitisha mabox lazima yatakuwa na kura tu. Swali litakuwa nani kapiga? Na zitakuwa kura za nani? Zilipigwa wapi na saangapi
 
Tanzania ina mataahira tu haki ya Mungu. Hili la wizi wa wazi wazi hata bara tunalifumbia macho????? Jiwe ni shetani kabisa! Wazanzibar ni watu wastaarabu mno. Jiwe Mungu atakushughulikia. Haya vile vile tuyaweke wazi kwa marafiki wa kimataifa ili kuwe na ushahidi wa kutosha!! Hhili jitu limefikia ukingoni
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Lengo hao wasimamizi wasiipigie ACT
 
Hivi ni nani hasa anatakiwa kupiga kura 27.10.2020 na kwa sababu gani wapige siku hiyo na si 28.10.2020 na je kama watapiga siku hiyo-hizo kura zitahesabiwa na masunduku kufungwa ili 28.10.2020 tuna anza upya na sio kura za 27 zichanganyike na za 28 kwenye mabox halafu zihesabiwe.

Nani atalala na hayo mabox ya kura? CCM hawa aminiki ni wezi wa kura na wao husemaga hakuna kupewa serikali kupitia vikaratasi yaani wanacheza na karatasi, au wanaamua kumtangaza mtu hakuna pa kwenda mahakamani au kwa ujeuri kabisa wana zijecha kura.
 
Naambiwa mkurugenzi wa uyui anataka kupigisha kura tar:27 tena adhabu kali itatolewa kwa atakae pigia kura Lisu!!
Nakukumbusha mnama kura Ni siri huwez jua nan kampigia nan kinachomata Ni majumuisho.
 
Back
Top Bottom