Zanzibar 2020 Nini sababu hasa ya Kura ya Mapema kwa wapiga kura wa Zanzibar wasiozidi laki 5?

Zanzibar 2020 Nini sababu hasa ya Kura ya Mapema kwa wapiga kura wa Zanzibar wasiozidi laki 5?

Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Haujibiwi kwa sababu nia ni kiba kura,Zanzibar kuna vituo Vingi vya kupiga kura na kura tano kwa mpiga kura.Kwa bahati mbaya zaidi kila kituo kitakachopigiwa kura siku ya tarehe 27/10/2020,hakutakuwa na kura za Maalim.CCM wametengeneza mazingira ya kujizolea idadi kubwa ya kura Siku hiyo ili tarehe 28/10/2020 wanapiga fainali.Tangia tupate Uhuru/Mapinduzi/Muungani,hatujawahi kusikia/kushuhudia aina hii ya uhuni.
Watanzania tusipobadilika hakutakuwa na mabadiliko kwa ajili yetu,tumeliwa mchana kweupeee!
 
Ili askari wapate nafasi nzuri ya kuwadhibiti wapuuzi walioelekezwa na babu seif waje na mawe, marungu na mikuki.
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
 
Dola ikisema imesema babu asitake kutoa damu za watu kisa yeye awe Rais.
Kwa hiyo na nyinyi mnataka kutoa damu kisa mwinyi awe rais acheni wizi mnacho kitaka mtakipata tu mwaka huu
 
Wanzanzibar kamwe msikubali kupiga kura mara mbili,kama ni tar 27 wote mjitokeze mkapige kura tar 27...Mkikubali tu mmenumia SISIEMU ni wezi.
 
It's called Napelization. La mkono hilo mkuu.
1. Mimi nadhani ni vyema kwanza kuwe na usiri katika kupiga kura, hakuna haja ya kuwa na bahasha za kutilia kura na kuandikwa number ya kitambulisho cha mpiga kura juu ya bahasha hio.
2. Kama kuna ulazima wa kura ya mapema, kura zote zihesabiwe mara tu baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika na kura zitangazwe siku hio hio ya tarehe 27/10/2020. Hii itaondowa sintofahamu ya vipi kura hizo zitalindwa na kusafirishwa katika vituo vya kupiga kura siku ya tarehe 28/10.
3. Kama kuzitangaza hadharani haitowezekana basi tume na mawakala wahesabu kura hizo na kila wakala apewe nakala ya uthibitisho wa matokeo ya kura hio ya mapema.
4. Majina ya wote watakaoshiriki kura ya mapema yawekwe hadharani na kwa upande wa polisi ni vyema number zao za kitambulisho cha kura zikawekwa hadharani sambamba na number zao za ajira.
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Kujazilizia palipopungua uchaguzi uliopita, hawataki tena kufuta matokeo kwa sababu ya wajumbe kuvua mashati.
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Ni wizi tu wa kura
 
Naambiwa mkurugenzi wa uyui anataka kupigisha kura tar:27 tena adhabu kali itatolewa kwa atakae pigia kura Lisu!!
Kura siri ya mtu na msilazimishe kumpigia mtu debe kwani kila mtu anajua hali anayoishi nayo
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Hiyo ndiyo namna nzruri ya kuiba kura
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Haramu inatakiwa kuhalalishwa mapema ili ikichanganywa na halali hakuna atakayehoji!!
Ukitazama kwa makini "kwanini hili lifanyike uchaguzi huu?"
Ukijiuliza sana "...ina maana yule mgombea anaefuatana na ukoo mzima hakubaliki au???"
 
Zanzibar ina wapiga kura wasiozidi laki 5, Tanzania bara ina wapiga kura takribani milioni 29.

Zanzibar yenye wapiga kura laki 5 watapiga kura kwa siku mbili yaani tarehe 27 na 28/10 wakati Tanzania bara yenye wapiga kura wengi 29mil. watapiga kura kwa siku moja trh 28/10 tu. Kwanini? Kuna sababu gani za msingi, kama ni Askari au watumishi wa NEC/ZEC hawaoni kura hiyo ingehitajika zaidi Bara ili waweze kusimamia vizuri.

Swali la nyongeza, Je, kura zitakazopigwa mapema nani atazilinda usiku wa kuamkia trh 28 au matokeo yake yatabandikwa siku hiyo hiyo au mawakala wa vyama wataruhusiwa kulala na madanduku ya kura zilizopigwa mapema?

Mwenye majibu tafadhali ili kuondoa dukuduku.
Wizi Mkuu, ccm ni majambazi
 
Hakuna sababu yoyote ya msingi hasa kama kura hazitahesabiwa hapo hapo. Hata zikihesabiwa hapo hapo, baadae masanduku yatajazwa kura na wakati wa kuhesabu upya mchezo unakwisha. Ingetosha sana wahusika kujipanga mbele kabisa ya mistari, wakishapiga - wakatimize majukumu yao. Siku hiyo hiyo ya uchaguzi!!!
 
Wanzanzibar kamwe msikubali kupiga kura mara mbili,kama ni tar 27 wote mjitokeze mkapige kura tar 27...Mkikubali tu mmenumia SISIEMU ni wezi.
Kwani wazanzibar wote ni wapinzani?
 
Back
Top Bottom