God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Salau ndugu zangu.
Watu wataweza kunihisi vibaya hapa ila sina jambo baya napenda tuu kufahamu historia ya muungano wetu. Napenda munielezee kwa nini hawa marais waliamua kukaa chini na kuungana na kuunda taifa la muungano yani tanzania?
Kwa muliokuwepo/mnaojua background tujuzeni jamani tutambue historia ya taifa letu.
Wapo wanaodharau muungano hasa upande wa zanzibari, wanasema wanatawaliwa na tanganyika, wanasema wananyonywa n.k
Lakini upande wangu umoja thabiti ni mafanikio, umoja ni nguvu. Kusaidiana ni muhimu kwa mataifa yetu machanga hasa pale yalipokua yanafukuza ukoloni. Napenda kuwe na free movement ya hizi sehemu mbili (tanganyika na bara).
Napenda tuwe wamoja tuweke juhudi zetu pamoja, wanaotaka kuja bara waje na wanaotaka kwenda kule waende mradi tuu ni watanzania.
Tu shee resource zetu bwana.
Tuchukulie mfano USA(United states of america) tunaweza kujifunza jambo kwao.
Watu wataweza kunihisi vibaya hapa ila sina jambo baya napenda tuu kufahamu historia ya muungano wetu. Napenda munielezee kwa nini hawa marais waliamua kukaa chini na kuungana na kuunda taifa la muungano yani tanzania?
Kwa muliokuwepo/mnaojua background tujuzeni jamani tutambue historia ya taifa letu.
Wapo wanaodharau muungano hasa upande wa zanzibari, wanasema wanatawaliwa na tanganyika, wanasema wananyonywa n.k
Lakini upande wangu umoja thabiti ni mafanikio, umoja ni nguvu. Kusaidiana ni muhimu kwa mataifa yetu machanga hasa pale yalipokua yanafukuza ukoloni. Napenda kuwe na free movement ya hizi sehemu mbili (tanganyika na bara).
Napenda tuwe wamoja tuweke juhudi zetu pamoja, wanaotaka kuja bara waje na wanaotaka kwenda kule waende mradi tuu ni watanzania.
Tu shee resource zetu bwana.
Tuchukulie mfano USA(United states of america) tunaweza kujifunza jambo kwao.