Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

Nini sababu ya Hamza kufanya yote haya?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Tukio la huyu jamaa kufanya haya yote!

Japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari!

Na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!

Mama kaeleza.

Polisi wanaongoza kupiga dili

Askari michongo, askari sio wahaminifu, askari kutaka maisha na ukweli.

IMG_0069.jpg

IMG_0068.jpg

IMG_0067.jpg


jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.

kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.


japo nilimuachia mungu
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtoto wa watu😭😭😭😭
 
tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !

japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !

na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!

mama kaeleza.

polisi wanaongoza kupiga dili

-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329

jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.

kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.


japo nilimuachia mungu
Eeh makubwa
JamiiForums-2088709850.jpg
 
Yule mwela aliepigwa shaba alijamba pwaa.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
story ni nyingi kwaiyo bhana akajua na kutumia AK 47 au aliingia youtube eneo la tukio

Tajiri lazima ajue kujihami na maadui, kwahiy inaonekana alikuwa anajifunza kutumia silaha mbali,, na pia gaidi hawezi kuwa vile hata kidogo
 
tukio la huyu jamaa kufanya haya yote !

japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari !

na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!

mama kaeleza.

polisi wanaongoza kupiga dili

-askari michongo,askari sio wahaminifu,askari kutaka maisha na ukweli.
View attachment 1908327
View attachment 1908328
View attachment 1908329

jeshi la polisi kuna kasoro kama wananchi katika maelezo wanaeleza ukweli kuhusu hili.

kumbuka kuna siku mtakimbilia jeshi kuu kwa haya.


japo nilimuachia mungu

wamepata mapato ya udhalimu wao https://jamii.app/JFUserGuide polic[emoji123]
 
Back
Top Bottom